Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,172
Alah! kumbe inasemekana na wala haijathibitishwa......
Tunawahitaji sana Nyani wenye akili kama wewe.
Kwa kuwa siku za hivi karibuni Tanzania inaonekana kupiga hatua kubwa katika tekinolojia, hasa baada ya uchawi uloiomwagwa Bungeni kuchunguzwa na Mkemia Mkuu na kutoa majibu, sitashangaa iwapo yupo mtu aliyepima kiwango cha furaha au huzuni ya Mbowe baada ya kupewa taarifa za msiba