afande kifimbo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 6,303
- 2,716
facts...IT.CS ni raha sana naujielewesio unatukana kishabiki hujui hata IP address au MAC addres na mengine......anatukanaaf kumbe ye mwenyewe mbululaTatzo anafanya hvo hana taaluma yyte ya computer aulze police kwa nn wameshndwa kumkamata tanzagiza hdi leo fanya kitu ukiwa na uhakika huwez kugundulika so imekula kwake huyo atulie tu sheria ifanye yake maan sio kwa mitusi ilee
Ndo hvo....hvo vitu awaachie watu waliopita shule wenye uwezo wa kubadili location waonekane sehem tofaut tofaut ili hali wapo sehem moja alf hapo nahic walimtumia dem maan sisi wanaume kwa kupenda k za bure hatujambofacts...IT.CS ni raha sana naujielewesio unatukana kishabiki hujui hata IP address au MAC addres na mengine......anatukanaaf kumbe ye mwenyewe mbulula
bila shaka unajua maana ya matusi. tofautisha na kejeli au ukweli unaoumiza.Maranyingi jamii inapo shindwa kujua wapi ilijikwaa basi makosa kama haya ujitokeza na uoga na aibu upotea machoni na midomoni mwa watu.
Mtanzania ambae ameasisi huu utamaduni wa matusi kama sehemu ya maisha yenu si mwingine ni rais mstaafu Benjamin William Mkapa. ..kitendo chake chakutusi in public jamii ya upande wa pili kimelifanya ili Taifa kupoteza dira ingawa zilitokea sauti zakumwambia awatake radhi watanzania lkn sauti hazikusikika bali za kutetea hayo matusi ndizo zilizo sikika.
..Nitawakumbusha tena rais wetu Dr.Magufuli nae hakusita kuendeleza matusi na maneno ya kejeri dhidi ya watanzania. .Zamani kidogo kama waziri alisikika akiwajibu watu wa Kigamboni baada ya kulalamika kua nauli ni kubwa kwa kusema kama huna nauri kapige mbizi..Hii kauli ni mbaya sana n.a. matusi kwa watu wenye shida ni kama mtoto anakwambia mzazi kua sijashiba unamwambia aende akaibe au akale kinyesi chake. Lakini pia kuwaita wa vilaza kwenye kadamnasi kusema ukweli ni jambo baya kwetu kama watanzania ingawa wengi mnaweza kulitetea kua ni halali bila kuangalia mkutadha .
MTINDO WA MATUSI UMEASISIWA NA MKAPA NA MAGUFULI
mbona anadunda tu?- Nimeenda na kumuona kwa macho yangu uso kwa uso nikamuuliza vipi unanifahamu akasema hapana zaidi ya kuniona kwenye mitandao, Mahabusu wenzake kupitia dirishani wakaniuliza kafanya nini nikawaambia wakaniambia tuachie huyo we kampumzike masikini ya Mungu macho mekundu yamemtoka, na ameanza kuwataja waliokuwa wanamlipa kutukana watu kwao ni Mwanza ila huwa anakuja kuja Dar kwa kulipiwa nauli na hao waliokuwa wanamtuma, sasa ni kuhamasisha tu watu waliowahi kutukanwa naye ambao ni wengi sana wakafungue kesi pale Ostabey!!
le Mutuz
WAMPATE WAPI?mbona anadunda tu?
lemutuz alikua anajisifu kuwa kamkamata lohWAMPATE WAPI?
Safi sanaShabiki maarufu instagram wa alikiba na anaejiita kiongozi wa team kiba hatimae amekamatwa na jeshi la polisi kwa kutukana na kukashifu watu mbali mbali mtandaoni, kijana huyo amekuwa akiandika matusi mazito na kukashifu watu mbalimbali
View attachment 435882
View attachment 435883
View attachment 435884
View attachment 435885
Huyo TANZAGIZA kaishia wapi ?Tatzo anafanya hvo hana taaluma yyte ya computer aulze police kwa nn wameshndwa kumkamata tanzagiza hdi leo fanya kitu ukiwa na uhakika huwez kugundulika so imekula kwake huyo atulie tu sheria ifanye yake maan sio kwa mitusi ilee