Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Kwamba hawaruhusiwi kutumia Mto Nile kwa maendeleo ya nchi yao kisa kumuogopa Egypt? Unajisikia unachoongea mkuu?
Nani amesema hawaruhusiwi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba hawaruhusiwi kutumia Mto Nile kwa maendeleo ya nchi yao kisa kumuogopa Egypt? Unajisikia unachoongea mkuu?
Haswaa!! kuna ile vita ya Ilamic jihad nayo ilichangia kusukuma weusi kusini zaidi!! huko mbali mbona hapo chini Madagascar, Mayote, Ushelisheli, huku kiswahili km kawa!! siyo mbali na Zanzibar!! hata Zanzibar yenyewe asingekuwa nyerer kukomaa!! ni weupe tupu! waliletwa na Mkoloni tena maksudi! elitrea, ethiopia walishindwa mbaya!Mkuu hivi wale waarabu wa kule morocco na Algeria kumbe waliletwa ili kuzifanya hizo nchi zioonekane kuwa ni za kiarabu
Asili ya watu wa North Africa ni berbers Hawa waarabu ni wa juzi juzi tu Karne ya juzi juzi tu..Karne ya Saba katika kipindi Cha kusambaza uislamu duniani Yani islamization movement....7th c...hata hao wa Egypt..ni mamluki asili ya watu wa hapo ni wale wa Ethiopia wa wa leo ....walipokuja waarabu waliwahasi na kuwaoa wanawake wao hivyo hiyo ilichangia kumaliza kizazi Cha watu weusi..hii ilifanyika kwa pande mbili za sehemu ya Africa ya kaskazini Yani (mashrig) Egypt na maghreb) Yaani Libya ..Tunisia morroco na algeMkuu hivi wale waarabu wa kule morocco na Algeria kumbe waliletwa ili kuzifanya hizo nchi zioonekane kuwa ni za kiarabu
Ulimaanisha nini kusema kosa lao ni kutofautiana na Egypt?Nani amesema hawaruhusiwi?
Acha kupotosha watu kijana, jina lenyewe jeremia tutegemee utawasemea mazuri waisilamu!!!!Asili ya watu wa North Africa ni berbers Hawa waarabu ni wa juzi juzi tu Karne ya juzi juzi tu..Karne ya Saba katika kipindi Cha kusambaza uislamu duniani Yani islamization movement....7th c...hata hao wa Egypt..ni mamluki asili ya watu wa hapo ni wale wa Ethiopia wa wa leo ....walipokuja waarabu waliwahasi na kuwaoa wanawake wao hivyo hiyo ilichangia kumaliza kizazi Cha watu weusi..hii ilifanyika kwa pande mbili za sehemu ya Africa ya kaskazini Yani (mashrig) Egypt na maghreb) Yaani Libya ..Tunisia morroco na alge
Ulimaanisha nini kusema kosa lao ni kutofautiana na Egypt?
Mkuu hivi wale waarabu wa kule morocco na Algeria kumbe waliletwa ili kuzifanya hizo nchi zioonekane kuwa ni za kiarabu
Aisee mnachekesha sana 😁 wale hawatoki pale, pale ni kwao bwana acheni kulialia. Mbona kuhusu mayahudi yaliyolaaniwa mnayatetea na kusema ile ardhi ni yao!!!!!Haswaa!! kuna ile vita ya Ilamic jihad nayo ilichangia kusukuma weusi kusini zaidi!! huko mbali mbona hapo chini Madagascar, Mayote, Ushelisheli, huku kiswahili km kawa!! siyo mbali na Zanzibar!! hata Zanzibar yenyewe asingekuwa nyerer kukomaa!! ni weupe tupu! waliletwa na Mkoloni tena maksudi! elitrea, ethiopia walishindwa mbaya!
Wayahudi pia ni walewale tu! na wal e wapo pale kwa jeuri sababu ile ardhi ya palestina ya leo waliitoambabu zao kina aleander the great! ndo walipigana kuondoa wayahudi weusi!Aisee mnachekesha sana 😁 wale hawatoki pale, pale ni kwao bwana acheni kulialia. Mbona kuhusu mayahudi yaliyolaaniwa mnayatetea na kusema ile ardhi ni yao!!!!!
Hizi ndizo akili za waafrika wengi, yani egypt uwa anajifanya nile ni mto wake binafsi.Kwamba hawaruhusiwi kutumia Mto Nile kwa maendeleo ya nchi yao kisa kumuogopa Egypt? Unajisikia unachoongea mkuu?
Issue ya mto Nile ni kuwa Egypt hakutaka Ethiopia kutumia maporomoko ya Blue Nile kutekeleza mradi wao wa umeme (GERD). Haya niambe wewe unalifahamu vipi hilo na kosa la Ethiopia ni lipi?Kuhusu ile issue ya mto nile, cwezi rudia rudia itakuwa unajuwa
Wapi hao wanaofadhili ?Hapo ni wachache sana, viongozi wa waasi!! wanapewa hela kufunguliwa makampuni ya ki Biashara USA, CANADA, UFARANSA nk na familia zao zina kaa huko!! safe heaven, and escaping route salama in case km mambo yakiwa mabaya wanapewa!
Lengo nikuweka mtu amabe ataleta uharibifu Ethiopia na kurusu kuitumia Ethiopia km wanavotaka soon watasema siyo nchi ya kiafrica ile! bali waarabu!! alafu hao waaarabu wahindi wataletwa kwa maelfu kukaa humo bure!
hivi ndivo walivo fanya kwa, Africa kaskazini, Mashariki ya kati na waka faulu! walishindwa kwenda kusini ajiliya Sun scorch ajili ya low Melanin, Mbung'o, mbu nk walikuwa wanakufa sana na ferltity rate yao ikawa ndoogo sana!
Karne ya 7!!!?..wanubi wametawala misri kabla yesu hahaha,na hao waarabu walikuwepo,warumi walivamia Tunisia miaka mingi huko,waarabu walikuwepo,unadanganya waneletwa Karne ya 7!!!..acha kuongea vitu usivyovijuaAsili ya watu wa North Africa ni berbers Hawa waarabu ni wa juzi juzi tu Karne ya juzi juzi tu..Karne ya Saba katika kipindi Cha kusambaza uislamu duniani Yani islamization movement....7th c...hata hao wa Egypt..ni mamluki asili ya watu wa hapo ni wale wa Ethiopia wa wa leo ....walipokuja waarabu waliwahasi na kuwaoa wanawake wao hivyo hiyo ilichangia kumaliza kizazi Cha watu weusi..hii ilifanyika kwa pande mbili za sehemu ya Africa ya kaskazini Yani (mashrig) Egypt na maghreb) Yaani Libya ..Tunisia morroco na alge
Mkuu soma tena kwa utulivu!!
Muarabu na Mpemba/Muarabu na Coloured na Latino na Wamanga na Mullato..... hawana tofauti kabisaaaaaa tu! ni km Lonel Richie tu!Karne ya 7!!!?..wanubi wametawala misri kabla yesu hahaha,na hao waarabu walikuwepo,warumi walivamia Tunisia miaka mingi huko,waarabu walikuwepo,unadanganya waneletwa Karne ya 7!!!..acha kuongea vitu usivyovijua
Umesahau kwamba HAKI ndiyo msingi wa AMANI ya kweli?Nini hasa wanakitaka waasi au wapiganaji wa ki Africa kwa baadhi ya nchi.
Unasoma vitabu vya wapi babu!!!?..au ni msabato masalia!!...babeli yaani Iraq ni waarabu Karne dahari,lugha ya kiarabu ilivyo Pana haiwezi kuwa lugha chotara ya juzi,3000ad Musa na waisrael wapo arabuni misri,ni uchunguzi wa hivi juzi umeonesha wakazi wa mwanzo uingereza ni weusiM
Muarabu na Mpemba/Muarabu na Coloured na Latino na Wamanga na Mullato..... hawana tofauti kabisaaaaaa tu! ni km Lonel Richie tu!
Wasikudanganye wale! ila wanaitwa hayo majina kulingana na walipo!
hii ni baada ya baba zao wazungu kuwakataa wakapewa second class citizenship!
Te!!te!!teee! Dogo unafurahisha sana weye!! Naona hujui!! hata chotara ni nini! ebu nambie Lugha ya chotara ni ipi!....Unasoma vitabu vya wapi babu!!!?..au ni msabato masalia!!...babeli yaani Iraq ni waarabu Karne dahari,lugha ya kiarabu ilivyo Pana haiwezi kuwa lugha chotara ya juzi,3000ad Musa na waisrael wapo arabuni misri,ni uchunguzi wa hivi juzi umeonesha wakazi wa mwanzo uingereza ni weusi
Inaelekea msomi wewe hata vyombo vya habari vya kimataifa hufuatilii,BBC walitangaza huo utafiti,tafutaTe!!te!!teee! Dogo unafurahisha sana weye!! Naona hujui!! hata chotara ni nini! ebu nambie Lugha ya chotara ni ipi!....
Uchunguzi upi huo wa juzi wa hao waarabu wako? au....any way!! fanya uchunguzi wewe km msomi! usitegemee adui yako afanye uchunguzi kijana af aje na postive results! hapo ni lazima ule za mbavu tu!
Hapana Mkuu! Bado hujanishawishi kwa habari ya BBC! hawa wote bado ni Manzi ga Nyanza! Vyombo vya Western Media vyotee! Mkuu hivi! ...... labda humjui Mkoloni ni mtu wa namna gani? . au Colony Master.....Inaelekea msomi wewe hata vyombo vya habari vya kimataifa hufuatilii,BBC walitangaza huo utafiti,tafuta