chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
rais wa Ethiopia akifanya masihara jamaa watampiga Hadi ikulu kwake.hili ndo tatizo la majeshi kukaa muda mrefu bila bettle ,wangekuwa wanawapeleka huko afughanistan,daful ,kongo n.k,wanapata wapi muda wa kufikilia au kuwa na mzuka wa bettle ya wao kwa wao!!Nini hasa wanakitaka waasi au wapiganaji wa ki Africa kwa baadhi ya nchi.
Unanichosha tu jamaanguHapana Mkuu! Bado hujanishawishi kwa habari ya BBC! hawa wote bado ni Manzi ga Nyanza! Vyombo vya Western Media vyotee! Mkuu hivi! ...... labda humjui Mkoloni ni mtu wa namna gani? . au Colony Master.....
Lini mtaacha hivi visingizio vyenu? Mara wakoloni, mara mabeberu,mara mbuzi jike daaahMkono wa marekani upo nyuma ya waasi hawa. Maana vifaa wanavyotumia hawangeweza kuvinunua hata kwenye ndoto zao. America is busy destabilizing the horn of Africa.
NjaaHawa si wana ma flyover ma SGR na mavitu mengi tatizo ni nini?
Uko sahihi!! kabisa!! usijaribuga hoja ngumu!Unanichosha tu jamaangu
Mmarekani alichokipata Somalia hana hamu tena huko wala aweki mguu au kusambaza sumu anajua wanajitambua yeye anataka Nchi zisizojitambua..Mkono wa marekani upo nyuma ya waasi hawa. Maana vifaa wanavyotumia hawangeweza kuvinunua hata kwenye ndoto zao. America is busy destabilizing the horn of Africa.
Uwezi kukandamiza misingi na makubaliano tuliyojiwekea Kama nchi alafu watu wakae kimya tu kiss wewe ni kiongozi mwenye mamlaka....huo ndiyo upumbavu wa viongozi wengi wa ki Afrika.Inaniuma sana ninapoona nchi za kiafrica zinapigana badala ya kujenga, Mungu ibariki Africa
Anko unajua chanzo cha ugomvi wao?Abiy Hana Cha kufanya,kiburi na utawala wa mabavu vimemponza,kikubwa akimbie na akatafute hifadhi nje ya nchi,hao tplf hawatanii na inaonekana wako well equipped.
Pole kwa abiy kwa kuishia kunawa mikono tu!!
UkabilaaaHawa si wana ma flyover ma SGR na mavitu mengi tatizo ni nini?