Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MATAGA kaziniAmeamua kuendesha baiskeli toka Dar mpaka Chato. Huu ni uzalendo wa kweli.View attachment 1742029
Kwa afya zao kimtazamo wa kawaida hawafaiWatu wanajitafutia kifo tu...mtu hana mazoezi wala hawajapata vipimo vya kitabibu kama wanaweza kusafiri kwa baskeli kwa umbali mrefu kiasi hicho.
Sisi tulitoa taadhari kwa jamaa aliekua anaruka kwenye majengo marefu akijidai alianzia Ndanda...japo Ndanda hapakua ba majengo marefu.
Kwa ujinga wa viongozi wetu wala hawatachukua taadhari ya kuwakinga wananchi hawa kwa ajili ya kupata sifa.
Walifurika uwanja wa Uhuru siku ya kuaga mwendazake na watu wakafa ila taadhari haikuchukuliwa.
Ndugu wa hao wajasiriamali washaurini wapate kibali cha kitabibu kama wanaweza kuendelea na hiyo zoezi.
Nina akili nyingi sana zinamwagikaHivi huwa unaakili timamu?
Sasa hivi hayana njia nyingine ya kujiingizia kipatomataga kazini
yule mtu kawaharibia ndugu na jamaa zake na kabila lakeSasa hivi hayana njia nyingine ya kujiingizia kipato
Sasa hivi kila wanakopita wanajishukuyule mtu kawaharibia ndugu na jamaa zake na kabila lake
SponsoredAmeamua kuendesha baiskeli toka Dar mpaka Chato. Huu ni uzalendo wa kweli.View attachment 1742029
Pia ni kukosa kazi kabisa maana ni upumbavu kuacha familia eti kwenda kuangalia kaburiWatu wanajitafutia kifo tu...mtu hana mazoezi wala hawajapata vipimo vya kitabibu kama wanaweza kusafiri kwa baskeli kwa umbali mrefu kiasi hicho.
Sisi tulitoa taadhari kwa jamaa aliekua anaruka kwenye majengo marefu akijidai alianzia Ndanda...japo Ndanda hapakua ba majengo marefu.
Kwa ujinga wa viongozi wetu wala hawatachukua taadhari ya kuwakinga wananchi hawa kwa ajili ya kupata sifa.
Walifurika uwanja wa Uhuru siku ya kuaga mwendazake na watu wakafa ila taadhari haikuchukuliwa.
Ndugu wa hao wajasiriamali washaurini wapate kibali cha kitabibu kama wanaweza kuendelea na hiyo zoezi.
Yaaani unakaa unajiuliza mjasiriamali gani asiyejua maana ya muda. Wewe mjasiriamali upoteze wiki mbili au tatu kaenda na kurudi chato huku biashara yako imelala ili tu kuunga mkono mtu aliyekwishafarikiSponsored