(KIONJO) Diamond Ft Neyo: Hakika hii ndio nyimbo

(KIONJO) Diamond Ft Neyo: Hakika hii ndio nyimbo

Kuna watu wanachuki Kali, ila tambueni nyingi sio Mungu,Mungu ndo anaweza kumzuia mtu asifanikiwe sio maneno yenu ya nyuma ya keyboard, mnaudhi sana wabongo,mna chuki za kitoto mwenzenu anafanikiwa kwa kujituma lakini nyie kazi yenu ni kutukana na kuponda kila anachofanya,...ndo maana hii nchi haiendelei...kuna watu wa ajabu sana
 
Nipo Mtwara kikazi nimeshindwa kuhudhuria niliipania hii shoo si mchezo.
 
Kwa waliona jana Show ya Mwanza ya Neyo na Diamond watakuwa walisikia ule wimbo mpya wa Diamond aliomshirikisha Neyo, bila unafiki ile nyimbo ni kali na am sure wamarekani wataipiga sana ile nyimbo kwenye Stations zao kwani Neyo kaimba kwa hisia sipati picha video itakuwaje lakini kwa nyimbo ile shikamoo Diamond.
Eti radio stations zao zipi?
 
wamarekani wana bidhaa aina mbili, za kwao na za wengine..... Sijui kama wataichukua hii kama bidhaa yao
ahaa wapi, mbona nyimbo za mori kante( yekeyeke) , mpongolove( ndaya) na seven seconds ( yossou ndour na neneh cherry , walizipiga sana tu ?, sema mimi hii nyimbo mi naiona ya kawaida tu, labda kama nitaisikiliza tena
 
jamani jamani hamjamaliza hii mada au
38084a63c07e6b456f70db4f1e249481.jpg
 
Kwa waliona jana Show ya Mwanza ya Neyo na Diamond watakuwa walisikia ule wimbo mpya wa Diamond aliomshirikisha Neyo, bila unafiki ile nyimbo ni kali na am sure wamarekani wataipiga sana ile nyimbo kwenye Stations zao kwani Neyo kaimba kwa hisia sipati picha video itakuwaje lakini kwa nyimbo ile shikamoo Diamond.
ngoja ni skie
 
ahaa wapi, mbona nyimbo za mori kante( yekeyeke) , mpongolove( ndaya) na seven seconds ( yossou ndour na neneh cherry , walizipiga sana tu ?, sema mimi hii nyimbo mi naiona ya kawaida tu, labda kama nitaisikiliza tena
wanazipiga station gani??

We had R Kelly na waafrika a few year ago, uliisikia wapi?

Mkuu kuna nyimbo zao na nyimbo "nyingine"... this falls into other categories... do you remember "Odjuelegba??" Whizkid, Drake na swizzbeat?? the best song lakini wapi umeisikia in the US?
kitu inabamba europe
 
Kwa waliona jana Show ya Mwanza ya Neyo na Diamond watakuwa walisikia ule wimbo mpya wa Diamond aliomshirikisha Neyo, bila unafiki ile nyimbo ni kali na am sure wamarekani wataipiga sana ile nyimbo kwenye Stations zao kwani Neyo kaimba kwa hisia sipati picha video itakuwaje lakini kwa nyimbo ile shikamoo Diamond.
kwahiyo wewe ndio kifesi....

kwikwikwikwi... vifesi wengi ni mademu

twatwatwatwaaaaaaaa...
 
wanazipiga station gani??

We had R Kelly na waafrika a few year ago, uliisikia wapi?

Mkuu kuna nyimbo zao na nyimbo "nyingine"... this falls into other categories... do you remember "Odjuelegba??" Whizkid, Drake na swizzbeat?? the best song lakini wapi umeisikia in the US?
kitu inabamba europe
Ulisikiliza stations zote za USA ukaona haijapigwaa???
 
Ulisikiliza stations zote za USA ukaona haijapigwaa???
stop being funny....there are more than 500 stations in the US, wewe umesikia station gani?

US music products are everywhere in the US, but hizi za akina yekeyeke (which, ironically is more than 20 years only, sijui imesikika station gani in the past few years). Lets hope CHIbu atasikika, lakini sio kama unavyotaka kuaminisha watu kifesi.... I know like three vifesi in the US and are all women (wabongo... kwikwikwikwi)
 
Ndo nakuuliza wewe ambae unasema haijapigwa
haijapigwa kifesi.... in the past 6 years hakuna nyimbo ya kante wa nd'our imetwangwa in major cities labda zile redio zetu za dayaspora za online ambazo zipo kama laki
 
Diamond yupo vizuri kiafrica anahitaji support kubwa ya kupiga colabo kutoboa international USA&UK Baby.

-Track aliyopiga na AKA amefunika sana...Make me sing.
 
Psqure waliimba na rick Ross kwa sharti ispigwe marekani hahahahah yaaani alietusua ni mmoja tu wizkid Basi alioshirikishwa na Drake pini lao one dance basi
Nyimbo ya p.square rick ross ndo aliwabania aligoma ku sign na lile litumbo lake roho yke mbaya tu mbona drake hajambania wiz kid
 
Back
Top Bottom