Kuna uzi wa ubovu wa Google pixel humuHizi simu bana Bora uchukue zako Infinix au Samsung, Nimeinunua miezi 6 iliyopita. Lakini shida iianza Jana inawaka Lakini mwanga unakua hafifu saaana, Mwisho kabisa ikazima jumla mwanzo nilijua itakua na shida ya taa ya KIOO, Lakini sasahivi imezima kabisa haionyeshi kitu, lakini unasikia mashine inaunguruma ukiweka chaji n.k
Andaa 180 kavuHizi simu bana Bora uchukue zako Infinix au Samsung, Nimeinunua miezi 6 iliyopita. Lakini shida iianza Jana inawaka Lakini mwanga unakua hafifu saaana, Mwisho kabisa ikazima jumla mwanzo nilijua itakua na shida ya taa ya KIOO, Lakini sasahivi imezima kabisa haionyeshi kitu, lakini unasikia mashine inaunguruma ukiweka chaji n.k
Fake from china, OG kuanzia 140kDah, Kuna mtu kanambia 125k Hapo kariakoo Mtaa wa aggrey
Samsung ndio wale wale 😁 labda ufunge fekiSimu za kipuuuzi sana hizi, Bora ukomae na Samsung tu
Mimi ilinisumbua sana hiyo, mdogo wake ni Huawei. Acha kabisa.. nikarudi kwenye Tecno kupoza kwanza. Ninategemeea kurudi Samsung maana kidogo sim zao imara.. au nicheki Redmi note zile hata Infinix poa tu kwa Kaz zangu mimi.Andaa 180 kavu
Simu laki 3 KIOO laki 180k SI upuuzi kamanda.Mm ilinisumbua San hiyo, mdogo wake ni Huawei. Acha kabisa.. nikarudi kwenye Tecno kupoza kwanza. Ninategemeea kurudi Samsung mana kidogo sim zao imara.. au nicheki Redmi note zile hata Infinix poa tu kwa Kaz zangu mm
Sidhani, mana matatizo makubwa ya hizo simu yako kwenye hiyo kioo. Simu zote xinazoendaga gereji hapo kariakoo kubadilisha ni kioo. Jiandae kununua tu. Og kinauzwa 150k ufundi 30/25Nitaenda kuzunguka kariakoo kupata used, najua sitakosa
Basi chukua hicho maana vipo kibao ,ila kipya og wanaanza 140k vipo mpaka 180kMkuu wewe og unayo? Mimi nataka KIOO hata used tu, hizi simu za google pixel Zina shida Nyingi mno.
ONGEZEA ELFU AROBAIN MKUU UCHUKUE INFINIX HUMO HAKUNA SIMU HUMO.Sasa kwamimi mlugaluga nitajuaje og na fake?
Simu za Google pixel ni og tena kutoka nje ,vioo vyake ni quality kama ukiangalia tu na simu kama Tecno utaona tofauti...Vioo vyake og vina ile hali ya ukijani kwa mbali kama Samsung .Nisaidie mkuu kujua og na fake. Au kama Kuna mtu anauza niunganishe nae
Sawa mkuuSimu za Google pixel ni og tena kutoka nje ,vioo vyake ni quality kama ukiangalia tu na simu kama Tecno utaona tofauti...Vioo vyake og vina ile hali ya ukijani kwa mbali kama Samsung .
Ukipewa kioo uangavu unafanana na Tecno basi hamna kitu ,wengine wanaongeza mwanga mpaka mwisho wanakuambia hiki fake au og .
Kuna baadhi ya simu mbovu ukipunguza mwanga kioo kinazima, hivyo tumia hisia cheza nayo sehemu ya kuongezea mwanga uwe kama unaiongeza huenda ikawaka tena.Hizi simu bana Bora uchukue zako Infinix au Samsung, Nimeinunua miezi 6 iliyopita. Lakini shida iianza Jana inawaka Lakini mwanga unakua hafifu saaana, Mwisho kabisa ikazima jumla mwanzo nilijua itakua na shida ya taa ya KIOO, Lakini sasahivi imezima kabisa haionyeshi kitu, lakini unasikia mashine inaunguruma ukiweka chaji n.k