Kioo Cha google pixel 3a ni shingapi?

Kioo Cha google pixel 3a ni shingapi?

Hizi simu bana Bora uchukue zako Infinix au Samsung, Nimeinunua miezi 6 iliyopita. Lakini shida iianza Jana inawaka Lakini mwanga unakuwa hafifu saaana, Mwisho kabisa ikazima jumla mwanzo nilijua itakua na shida ya taa ya KIOO, Lakini sasahivi imezima kabisa haionyeshi kitu, lakini unasikia mashine inaunguruma ukiweka chaji n.k

Hizi ndio bei za vioo Google Pixel

GOOGLE PIXEL VIOO

PIXEL 3 155,000
PIXEL 3A 170,000
PIXEL 4 4G 370,000
PIXEL 4A 5G 330,000
PIXEL 4XL 300,000
PIXEL 6A 400,000
PIXEL 6PRO

Hizo ni bei za vioo gharama ya ufundi ni 10,000 Tsh 0714036595 karibu mkuu[emoji1666]
 
Hizi ndio bei za vioo Google Pixel

GOOGLE PIXEL VIOO

PIXEL 3 155,000
PIXEL 3A 170,000
PIXEL 4 4G 370,000
PIXEL 4A 5G 330,000
PIXEL 4XL 300,000
PIXEL 6A 400,000
PIXEL 6PRO

Hizo ni bei za vioo gharama ya ufundi ni 10,000 Tsh 0714036595 karibu mkuu[emoji1666]
Mimi Nina 150,000/=
 
Back
Top Bottom