Tetesi: Kipa Djigui Diarra mbioni kuondoka Yanga

Tetesi: Kipa Djigui Diarra mbioni kuondoka Yanga

Tetesi kutoka kwenye chanzo Cha kuaminika kutoka nchini Mali kuhusu Kipa wa Yanga SC Djigui Diarra zinasema Kuna timu ya ligi nchini Uturuki inahitaji huduma ya golikipa Huyo Bora ndani ya Africa akiwa amefanikiwa kutwaa tuzo ya golikipa Bora mara mbili ya ligi kuu,lakini akitwaa tuzo ya kipa Bora kwenye fainali kombe la shirikisho fainali dhidi ya USM Alger.

Wamevutiwa na ubora wa kipa Huyo baada ya kuingia kwenye kinyang’anyiro Cha kugombea kipa Bora katika tuzo za CAF na makipa wakubwa Afrika lakini pia amekuwa akitwa kwa muendelezo katika timu ya taifa ya Mali.

Lakini ukiacha yeye timu hiyo pia imevutiwa na mchezaji mwingine kiungo kutoka Mali Aliou Dieng kutoka klabu ya Al Ahly ya Misri nae akitakiwa kwenda kwenye hiyo klabu ya Uturuki pamoja na Screen protecter Diarra.
UNAJITEKENYA NA KUCHEKA MWENYEWE.
 
Na zibaki kuwa tetesi, bado sipo tayari kutokumuona Diarra pale golini.
Uwanjani hakutaendeka!

Japo utafika wakati ataondoka ila sio sasa.
Aende tu
Aliondoka Mayele na bado tumetoboa
Tatizo hawa wachezaji ukiwanyenyekea sana wanaboronga angalia Chama
 
Ni golikipa wa kisasa sana Diarra, ni ngumu sana kuwapata magolikipa wa aina yake! Golikipa ambaye anaanzisha mashambulizi vizuri, footwork yake iko vizuri sana sema tu Yanga ni kubwa kuliko mchezaji!
 
Yani wewe ni mimi kabisa, hakuna wachezaji ndani ya yanga kwa sasa nawakubali kama hao ukiongeza na Aucho.

Usihuzunike na niwatoe hofu wananchi wenzangu, hili la kipa nilishaongea na injinia nikamwambia takwa la wananchi na akaahidi kamwe hawezi kuleta kipa sampuli ya Ayubu maana ni aibu.
Mimi ni Diarra, Aziz, Pacome & Lomalisa

Hao wakiwepo kwenye kikosi kinachoanza kama niko uwanjani naanza kununua ice cream nakula kwa amani, ila kama hawapo naanza kunywa maji 🤣🤣🤣
 
Mimi ni Diarra, Aziz, Pacome & Lomalisa

Hao wakiwepo kwenye kikosi kinachoanza kama niko uwanjani naanza kununua ice cream nakula kwa amani, ila kama hawapo naanza kunywa maji 🤣🤣🤣
😂 wanaupiga mwingi lomalisa huwa ananikosha na ball control za uhakika.
 
😂 wanaupiga mwingi lomalisa huwa ananikosha na ball control za uhakika.
Yani mpaka nimepata goosebumps, hili wengi hawalijui!

Lomalisa akituliza mpira ni habari nyingine, unaona alivyomnyanyasa Tau hadi akamfanyia madhambi Vs Ahly? Ile siku kidogo nilie nikajikaza tu aibu watu wengi 🤣🤣🤣

Cheki mambo hayo! Acheniiii
IMG_3621.jpeg
 
Tetesi kutoka kwenye chanzo Cha kuaminika kutoka nchini Mali kuhusu Kipa wa Yanga SC Djigui Diarra zinasema Kuna timu ya ligi nchini Uturuki inahitaji huduma ya golikipa Huyo Bora ndani ya Africa akiwa amefanikiwa kutwaa tuzo ya golikipa Bora mara mbili ya ligi kuu,lakini akitwaa tuzo ya kipa Bora kwenye fainali kombe la shirikisho fainali dhidi ya USM Alger.

Wamevutiwa na ubora wa kipa Huyo baada ya kuingia kwenye kinyang’anyiro Cha kugombea kipa Bora katika tuzo za CAF na makipa wakubwa Afrika lakini pia amekuwa akitwa kwa muendelezo katika timu ya taifa ya Mali.

Lakini ukiacha yeye timu hiyo pia imevutiwa na mchezaji mwingine kiungo kutoka Mali Aliou Dieng kutoka klabu ya Al Ahly ya Misri nae akitakiwa kwenda kwenye hiyo klabu ya Uturuki pamoja na Screen protecter Diarra.
Naiona Yanga ikichukua ubingwa wa ligi ikiwa bado mechi 15 mkononi
 
Hahahaaaa kaeni kwa kutulia...mdaka panzi ataondoka one day
Tatizo mashabiki wengi hatutaki mchezaji pendwa aondoke kutafuta changamoto nyingine hasa za kimaslahi tunachotaka Ni acheze milele, wakati mpira Ni biashara Kama biashara nyingine Ni lazima uuze bidhaa ili kununua bidhaa nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani mpaka nimepata goosebumps, hili wengi hawalijui!

Lomalisa akituliza mpira ni habari nyingine, unaona alivyomnyanyasa Tau hadi akamfanyia madhambi Vs Ahly? Ile siku kidogo nilie nikajikaza tu aibu watu wengi 🤣🤣🤣

Cheki mambo hayo! Acheniiii
View attachment 2861032
Lomalisa kwenye ball control ni marcelo mtupu, ukija kizembe lazima uaibike, kwenda kuwania mpira na lomalisa kunahitaji nidhamu na tahadhari sana
 
Back
Top Bottom