Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chanzo Cha Kuaminika.....Hiyo timu haitajwi? Haya hicho chanzo chako je?
Wewe tunafanana kabisaNa zibaki kuwa tetesi, bado sipo tayari kutokumuona Diarra pale golini.
Uwanjani hakutaendeka!
Japo utafika wakati ataondoka ila sio sasa.
Mkuu mchezaji kuhusishwa kutakiwa na timu fulani ni dhambi??, Ulitaka acheze timu fulani milele??
Hahahaaaa kaeni kwa kutulia...mdaka panzi ataondoka one dayItakuwa majanga sana kwetu Yanga sc😭
UNAJITEKENYA NA KUCHEKA MWENYEWE.Tetesi kutoka kwenye chanzo Cha kuaminika kutoka nchini Mali kuhusu Kipa wa Yanga SC Djigui Diarra zinasema Kuna timu ya ligi nchini Uturuki inahitaji huduma ya golikipa Huyo Bora ndani ya Africa akiwa amefanikiwa kutwaa tuzo ya golikipa Bora mara mbili ya ligi kuu,lakini akitwaa tuzo ya kipa Bora kwenye fainali kombe la shirikisho fainali dhidi ya USM Alger.
Wamevutiwa na ubora wa kipa Huyo baada ya kuingia kwenye kinyang’anyiro Cha kugombea kipa Bora katika tuzo za CAF na makipa wakubwa Afrika lakini pia amekuwa akitwa kwa muendelezo katika timu ya taifa ya Mali.
Lakini ukiacha yeye timu hiyo pia imevutiwa na mchezaji mwingine kiungo kutoka Mali Aliou Dieng kutoka klabu ya Al Ahly ya Misri nae akitakiwa kwenda kwenye hiyo klabu ya Uturuki pamoja na Screen protecter Diarra.
Nitalia sana yaani sana 😭😭😭😭😭😭😭Hahahaaaa kaeni kwa kutulia...mdaka panzi ataondoka one day
Aende tuNa zibaki kuwa tetesi, bado sipo tayari kutokumuona Diarra pale golini.
Uwanjani hakutaendeka!
Japo utafika wakati ataondoka ila sio sasa.
Chanzo cha tetesi mawazo yakoWatu wanaangalia mzigo ( pesa ) na mkataba wake uko vipi otherwise inaweza kutokea au isitokee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni Diarra, Aziz, Pacome & LomalisaYani wewe ni mimi kabisa, hakuna wachezaji ndani ya yanga kwa sasa nawakubali kama hao ukiongeza na Aucho.
Usihuzunike na niwatoe hofu wananchi wenzangu, hili la kipa nilishaongea na injinia nikamwambia takwa la wananchi na akaahidi kamwe hawezi kuleta kipa sampuli ya Ayubu maana ni aibu.
😂 wanaupiga mwingi lomalisa huwa ananikosha na ball control za uhakika.Mimi ni Diarra, Aziz, Pacome & Lomalisa
Hao wakiwepo kwenye kikosi kinachoanza kama niko uwanjani naanza kununua ice cream nakula kwa amani, ila kama hawapo naanza kunywa maji 🤣🤣🤣
Yani mpaka nimepata goosebumps, hili wengi hawalijui!😂 wanaupiga mwingi lomalisa huwa ananikosha na ball control za uhakika.
Naiona Yanga ikichukua ubingwa wa ligi ikiwa bado mechi 15 mkononiTetesi kutoka kwenye chanzo Cha kuaminika kutoka nchini Mali kuhusu Kipa wa Yanga SC Djigui Diarra zinasema Kuna timu ya ligi nchini Uturuki inahitaji huduma ya golikipa Huyo Bora ndani ya Africa akiwa amefanikiwa kutwaa tuzo ya golikipa Bora mara mbili ya ligi kuu,lakini akitwaa tuzo ya kipa Bora kwenye fainali kombe la shirikisho fainali dhidi ya USM Alger.
Wamevutiwa na ubora wa kipa Huyo baada ya kuingia kwenye kinyang’anyiro Cha kugombea kipa Bora katika tuzo za CAF na makipa wakubwa Afrika lakini pia amekuwa akitwa kwa muendelezo katika timu ya taifa ya Mali.
Lakini ukiacha yeye timu hiyo pia imevutiwa na mchezaji mwingine kiungo kutoka Mali Aliou Dieng kutoka klabu ya Al Ahly ya Misri nae akitakiwa kwenda kwenye hiyo klabu ya Uturuki pamoja na Screen protecter Diarra.
Tatizo mashabiki wengi hatutaki mchezaji pendwa aondoke kutafuta changamoto nyingine hasa za kimaslahi tunachotaka Ni acheze milele, wakati mpira Ni biashara Kama biashara nyingine Ni lazima uuze bidhaa ili kununua bidhaa nyingineHahahaaaa kaeni kwa kutulia...mdaka panzi ataondoka one day
Hapo sasaaa..Tatizo mashabiki wengi hatutaki mchezaji pendwa aondoke kutafuta changamoto nyingine hasa za kimaslahi tunachotaka Ni acheze milele, wakati mpira Ni biashara Kama biashara nyingine Ni lazima uuze bidhaa ili kununua bidhaa nyingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Lomalisa kwenye ball control ni marcelo mtupu, ukija kizembe lazima uaibike, kwenda kuwania mpira na lomalisa kunahitaji nidhamu na tahadhari sanaYani mpaka nimepata goosebumps, hili wengi hawalijui!
Lomalisa akituliza mpira ni habari nyingine, unaona alivyomnyanyasa Tau hadi akamfanyia madhambi Vs Ahly? Ile siku kidogo nilie nikajikaza tu aibu watu wengi 🤣🤣🤣
Cheki mambo hayo! Acheniiii
View attachment 2861032