VUVUZELA
JF-Expert Member
- Jun 19, 2010
- 3,103
- 798
Kaangalie video clips zaoHii survey sio ya kiufundi. Kuna mtu hapa amewahi kuwaona wote toka klabu ianzishwe?
Mimi sijawahi, nimeanza na era ya Moses Mkandawile na kuendelea, hivyo siwezi na sitaki ku comment kuhusu kina Mambosasa na Mahadhi.