Kipa kwa KMC kauza mechi

Kipa kwa KMC kauza mechi

Nimeangalia yake magoli yote aliyofungwa KMC nimejirishisha pasi na shaka kwamba kipa kwa KMC kauza mechi.

Usibishe angalia tena na tena hasa goli la kwanza...
Na wewe ndio ulikuwa mnunuzi.
 
Kapanga matokeo kabisa hilo halina hata shaka, na inawezekana hajauza ila bado ana mapenzi na Utopolo.

Shikalo ukiachwa achika.
 
Nimeangalia yake magoli yote aliyofungwa KMC nimejirishisha pasi na shaka kwamba kipa kwa KMC kauza mechi.

Usibishe angalia tena na tena hasa goli la kwanza...
Ukiitwa mbele utoe ushahidi wa jambo lako, je ushahidi utakua nao kijana fuso?
 
Nimeangalia yake magoli yote aliyofungwa KMC nimejirishisha pasi na shaka kwamba kipa kwa KMC kauza mechi.

Usibishe angalia tena na tena hasa goli la kwanza...
Kilichobaki ni kutapatapa hakuna kingine..[emoji16]
 
yeeee shikalooo oyeeeeeeeeeee
yeeeeeeee.jpeg
 
Ule mdude wa feisal hata angekuwa kipa wa makolo angefungwa... beki unaacha mtu anajiset na kupiga atakavyo..??
 
alikuwa anatamani amalize haraka match ili akapige selfie na wachezaji wa timu yake ya moyoni utopwinyo..
 
Goli la Kwanza mpira ulimbabatiza ila la pili ni la kipumbavu halafu anashindwa kupanga beki
 
Ile timu pamoja na kuwa ya taasisi inaendeshwa kienyeji Sana, kocha mkuu hayupo pia mbali ya kuwa kocha mkuu ni meneja wa uwanja wa jamhuri morogoro sijui anafanyaje hizi kazi kwa pamoja, kocha msaidizi pia hayupo yupo kwenye mitihani badala yake kocha wa vijana ndio anasimamia timu
 
Ile timu pamoja na kuwa ya taasisi inaendeshwa kienyeji Sana, kocha mkuu hayupo pia mbali ya kuwa kocha mkuu ni meneja wa uwanja wa jamhuri morogoro sijui anafanyaje hizi kazi kwa pamoja, kocha msaidizi pia hayupo yupo kwenye mitihani badala yake kocha wa vijana ndio anasimamia timu

Mkuu rodrick alexander umetaja kocha Msaidizi anafanya Mtihani, Je ni mtihani wa leseni za CAF au ni mtihani gani?

Ahsante
 
Back
Top Bottom