M mwakani naolewa Senior Member Joined Jul 25, 2024 Posts 148 Reaction score 426 Aug 2, 2024 #1 Simba SC yamtangaza kipa wake mpya ambaye ni Moussa Camara akitoka Guinea katika clabu ya AC Horoya kipa huyo atakua anaidakia timu ya Simba SC kwanzia sasa.
Simba SC yamtangaza kipa wake mpya ambaye ni Moussa Camara akitoka Guinea katika clabu ya AC Horoya kipa huyo atakua anaidakia timu ya Simba SC kwanzia sasa.
ngara23 JF-Expert Member Joined Aug 31, 2019 Posts 9,091 Reaction score 21,087 Aug 2, 2024 #2 Mbumbumbu wanahaha
C Code 255 JF-Expert Member Joined Jul 6, 2024 Posts 904 Reaction score 3,570 Aug 2, 2024 #3 Kwa mpira wa bongo...nashauri anywe maji kwanza
muhomakilo jr JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 15,301 Reaction score 13,858 Aug 2, 2024 #4 Nafasi 12 bado tu hazijatimia! KUtakuwa makipa wangapi?..na Au Manula ashapewa mkono wa khery?..