Kipa mpya wa Simba

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
Simba SC yamtangaza kipa wake mpya ambaye ni Moussa Camara akitoka Guinea katika clabu ya AC Horoya kipa huyo atakua anaidakia timu ya Simba SC kwanzia sasa.
 
Kwa mpira wa bongo...nashauri anywe maji kwanza
 
Nafasi 12 bado tu hazijatimia! KUtakuwa makipa wangapi?..na Au Manula ashapewa mkono wa khery?..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…