Kipa wa Simba anachezeshwa mpira kuliko straiker, winga na kiungo

Kipa wa Simba anachezeshwa mpira kuliko straiker, winga na kiungo

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vip!!

Katika pita pita mitandaoni nimekutana na andiko kama hili nikaona inaukweli mkubwa sana.

Mimi nimshabiki wa Simba ila sijawahi kuelewa huu mpira wa kurudisha nyuma unaochezwa na Simba,ni mpira wa kipxmbavu na wa ovyo sana kwasababu imekuwa ikitugharibu mara nyingi.

Yaani kipa anachezeshwa mpaka unashindwa kutofautisha kati ya kipa na wachezaji wa kawaida...na kwa style ya mpira wa Simba Kipa anacheza sana kuliko wachezaji wote pale uwanjani..hii ni kumchosha kipa,kumtoa kwenye concentration ya lango lake kama kipa..ndio matokeo ya kujifunga kila siku.

Katika hili asilaumiwe kipa hata kidogo ..lawama ni kwa cocha na wachezaji wake.
 
Hapo vip!!
Katika pita pita mitandaoni nimekutana na andiko kama hili nikaona inaukweli mkubwa sana.

Mimi nimshabiki wa Simba ila sijawahi kuelewa huu mpira wa kurudisha nyuma unaochezwa na Simba,ni mpira wa kipxmbavu na wa ovyo sana kwasababu imekuwa ikitugharibu mara nyingi.

Yaani kipa anachezeshwa mpaka unashindwa kutofautisha kati ya kipa na wachezaji wa kawaida...na kwa style ya mpira wa Simba Kipa anacheza sana kuliko wachezaji wote pale uwanjani..hii ni kumchosha kipa,kumtoa kwenye concentration ya lango lake kama kipa..ndio matokeo ya kujifunga kila siku.

Katika hili asilaumiwe kipa hata kidogo ..lawama ni kwa cocha na wachezaji wake.
Beki lenyewe lichamalone ukilipreshalize linazingua
 
Ndio maana Simba hata akikutana na kibonde namna gani hawawezi kushinda magoli mengi kwa sababu muda mwingi mwa mchezo mpira upo golini kwao.

Na upumbavu mwingine waliofanya jana Fountain Gate wamesawazisha goli na kipa kapewa kadi nyekundu badala waforce wapate goli la pili wao bado wanapigiana back pass wanafikiri dakika zinawasubiri halafu benchi la ufundi wamekaa tu wanaangalia.
 
Leo ndio umefumbua macho tunapokuambia pale hakuna timu unacheka kama zwazwaa yani unavuka daraja la ki vietnam la kamba huku umefumba macho et ukitumbukia ndio unafumbua macho wakati huo unakua kwenye mdomo wa mamba nusu ya mwili wako..
 
Mmeshajifunga lini tena acha uzwazwa wewe siku mnapigwa na mabingwa wa nchi hii mlipigwa presha mpaka mkatoa wenyewe kwa roho nyeupe kabisa baada shuti la Nzengeli kumshinda ngiri na kulielekezea ndani au na pale kulikua na back pass.
 
Wachambuzi wenu wa Soka hiyo kurudisha nyuma wanaita Team Build Up , na ndio alichokifanya Chasambi
 
Hapo vip!!

Katika pita pita mitandaoni nimekutana na andiko kama hili nikaona inaukweli mkubwa sana.

Mimi nimshabiki wa Simba ila sijawahi kuelewa huu mpira wa kurudisha nyuma unaochezwa na Simba,ni mpira wa kipxmbavu na wa ovyo sana kwasababu imekuwa ikitugharibu mara nyingi.

Yaani kipa anachezeshwa mpaka unashindwa kutofautisha kati ya kipa na wachezaji wa kawaida...na kwa style ya mpira wa Simba Kipa anacheza sana kuliko wachezaji wote pale uwanjani..hii ni kumchosha kipa,kumtoa kwenye concentration ya lango lake kama kipa..ndio matokeo ya kujifunga kila siku.

Katika hili asilaumiwe kipa hata kidogo ..lawama ni kwa cocha na wachezaji wake.
ni mara nyingi hadi hasira ni moja ya ujinga wanafanya simba pumbavu zao
 
 
Back
Top Bottom