Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Video iliyopo mtandaoni ina dakika moja tu na imewaonyesha zaidi ya wachezaji 12.Mlichonfanyia mwenzenu sio powa,
Nusu ya wachezaji hawajaonekana harusini
Nilimuina Sheikh wa timu injinia na wachezaji kama kumi hivi
Mbona wewo
uzi ufungwe hapa, jamaa kaongea kinafiq mnoooVideo iliyopo mtandaoni ina dakika moja tu na imewaonyesha zaidi ya wachezaji 12.
Hukumu yako imeegemea kwenye hiyo video au ulihudhuria?
Safi sana kwa kumuumbua mtoa taarifa.Video iliyopo mtandaoni ina dakika moja tu na imewaonyesha zaidi ya wachezaji 12.
Hukumu yako imeegemea kwenye hiyo video au ulihudhuria?
Ndio maana tunawaita KOLOWIZARDS. Wanga sana hao jamaa.Video iliyopo mtandaoni ina dakika moja tu na imewaonyesha zaidi ya wachezaji 12.
Hukumu yako imeegemea kwenye hiyo video au ulihudhuria?
Duh, kwa hiyo siyo GSM tena anaharibu ligi ni UBAYA UBWELA? Na Mangungu pia abaki sio?Baada ya Yanga kushtukia kuwa huu ni msimu wa ubaya ubwela wamekuja na kiki za harusi kutupoteza maboya. Galacticos wanaoishia hatua ya makundi.
Ukiwa na tabia kama hizo kutolewa posa ni jambo la dakika mbili tu.Umbea ni kitu kibaya sana kwa mwanaume.
Unakurupuka tu kutoa uzi haujafanya utafiti wa kutosha unapika tu majungu kuchafua watu...hata kama unachuki binafsi na watu lakni sio kwa njia hii....mtoto wa kiume ukipakatwa utamlaumu nani?!...mtoto wa kiume mzima unapenda kiki za kiboya kama juma lokole ukiambiwa shoga utasema umetukanwa?!Video iliyopo mtandaoni ina dakika moja tu na imewaonyesha zaidi ya wachezaji 12.
Hukumu yako imeegemea kwenye hiyo video au ulihudhuria?