Kipande cha sabuni chafikia Tshs 900

Apite kwa chama kipi na agombee nafasi ipi na ateuliwe na nani kwa mila ipi kwa tamaduni ipi, achukue chake mapema ila 2025 asithubutu kuiwaza kamwe haitatokea. Mpito ni mpito tu ifahamike hivyo.
hehehe....kwenye uenyekiti wa chama alipita kwa 100%.. Yaani kura zote , hakuna hata kura moja aliokosa.
 
Si bado anaupiga mwingi!!?? Au
 
Aisee!
Nchi ilikuwa kifungoni.. Chifu Hangaya anaendelea kuifungua!
 
Nchi imefunguliwa kuleni kwa urefu wa kamba! Nasema hivi lambeni asali...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…