Asante, Kama huniamini muulize maza bei ya petrol tz na usa, ipi nafuu?Thubutu yako! Wa kukaa marekani awe wewe?. Mavi ya kuku..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante, Kama huniamini muulize maza bei ya petrol tz na usa, ipi nafuu?Thubutu yako! Wa kukaa marekani awe wewe?. Mavi ya kuku..!
hehehe....kwenye uenyekiti wa chama alipita kwa 100%.. Yaani kura zote , hakuna hata kura moja aliokosa.Apite kwa chama kipi na agombee nafasi ipi na ateuliwe na nani kwa mila ipi kwa tamaduni ipi, achukue chake mapema ila 2025 asithubutu kuiwaza kamwe haitatokea. Mpito ni mpito tu ifahamike hivyo.
Muda utasemahehehe....kwenye uenyekiti wa chama alipita kwa 100%.. Yaani kura zote , hakuna hata kura moja aliokosa.
Aisee!Tumezoea sio kawaida sabuni za kawaida zinazokatwa vipande kupanda bei, tumezoea kuwa mche wa sabuni ukipanda sana ni tshs 500/= lakini hadi sasa mche wa sabuni umepanda kutoka shs 2300/= ya mwezi March na kufikia tshs 4000/ kwa mwezi May.
Kipande cha sabuni bei yake ilikuwa ni tshs 500/= na kwa sasa kipande kimefikia tshs 800 hadi 900.
Kwa sasa hakuna kitu hakijapanda BEI. Misumali haijapanda hata shs moja kwa kipindi cha miaka 9, ila kwa kipindi hiki imepanda kutoka 3000 kwa kilo moja hadi tshs 5000 kwa kilo.
Nakumbuka Waziri Mkuu aliwahi kuwaagiza Wakuu wa Wikoa na Wilaya kutembelea masokoni na kwenye maduka ya kawaida ili kuwadhibiti wafanyabiashara wanaopandisha bidhaa holela ila hadi sasa hakuna hatua zozote zilizochukuliwa hadi sasa kudhibiti hali hiyo.
Hali sio nzuri sana kwa sasa.
Marekani ipi hyo unayo isemeaTz mna raha sana sie huku marekani kipande cha sabuni tunanunua elf5, mche tunauziwa elf30 na hatulalamiki.
Alikoenda maza ku-royotua.Marekani ipi hyo unayo isemea