Una utani na wana jf? We uko timamu kweli?
Kawaida sana
Ni nyimbo ya makabulini au?
kichaa siyo lazima aokote makopo
Teaser ya wimbo wa msanii kinara katika muziki wa Bongo "Dimond platnumz" imevunja rekodi ya kupakuliwa katika mitandao mara nyingi zaidi, kipande hicho ni cha sekunde 21 kinachoonyesha kuwa hiyo nyimbo itakuwa bora kabisa endapo itatotelewa mwaka huu au ujao...hebu iangalie halafu utoe maneno yako bila unafki wala ushabiki...mi naanza kusema hili litakuwa BONGE LA HIT ....
My take....
Kwa mwendo huu msiseme mnaonewa kwenye tuzo za
ili na nyinginezo
Hivi kwanini tusiamini Diamond huvujisha mwenyewe nyimbo zake?
Nani huzivujisha?
Nani huziifadhi?
Zina vujishwa na Wema?
Zina vujishwa na Romy?
Kwanini yeye kila Leo?
Kwanini kila anapo taka kutoa wimbo mambo kama haya hutangulia? Kwanini kila siku hutumia style hiyo hiyo kutafuta tention ya wimbo wake?
Kuna wimbo wake alisema ulivuja akiwa kwa producer Fulani na producer alipoulizwa alicheka sana akasema kwanini ni yeye tuu nyimbo zake ndio zina vuja? Mwisho alisema ngoja tuone......
Kweli nimeamini muda huongea ...katika hii nina uhakika kabisa Diamond na timu yake huvujisha nyimbo makusudi kupima upepo na kutafuta tention!
Diamond ni msanii mzuri haitaji kuendelea na hizi tabia za kutafuta kick ndio atoe wimbo!
nia yako niudownload kuongeza idadi
ngastuka!!
Na lazima utauview, ata kama upendi.
mi siku hizi sio mpenzi wa bongo fleva wangu yaani nyimbo za siku hizi ht chorus kuimba nyingi zinanishinda na tv wahindi wananipoteza sana mi star plus,star gold na bbc au aljazeera
kwenye simu bongo fleva za zamani kuanzia 2007 kushuka chini hapa nipo tu kishabiki baas na jamii forum ndo napoteza mawazo ht kwenye pc na cd zangu ni nyimbo za longii tu eatv morning wanawekaga masong ya kizungu ya enzi hizo km za kina mary j nk mara nyingi so wakimaliza nahama