Ryan Holiday
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 2,026
- 4,450
- Thread starter
- #21
Je, ubongo haujaundwa na tissue?nyama ni "tissue" na mara nyingi ni "muscles"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je, ubongo haujaundwa na tissue?nyama ni "tissue" na mara nyingi ni "muscles"
Naamini unachokiandika hapa hukielewi boss,kwanza ungeanza na maana ya tissue na ujue sio kila tissue ni misuliJe, ubongo haujaundwa na tissue?
Je, ubongo haujaundwa na tissue?
Ukiachana na hizo 60% za Fats, the remaining 40%, ubongo ni mchanganyiko wa maji, protein, carbohydrates na salt hivyo ubongo wenyewe sio musle/misuli.Je, ubongo haujaundwa na tissue?
Nani kasema kila tissue ni misuli?Naamini unachokiandika hapa hukielewi boss,kwanza ungeanza na maana ya tissue na ujue sio kila tissue ni misuli
Wapi nimesema ubongo ni misuli.Ukiachana na hizo 60% za Fats, the remaining 40%, ubongo ni mchanganyiko wa maji, protein, carbohydrates na salt hivyo ubongo wenyewe sio musle/misuli.
Ila, unajumuisha mishipa ya damu na nerves including neurons na vitu vinafahamika kama glia cells. Sasa hizi huitwa "soft tissues" lakin sio kwa maana ile ya misuli kama ilibyo katika nyama ya kawaida...
So ubongo si kipande cha nyama mkuu.
Tatizo mnakurupuka kubishana vitu ambavyo hamjafanyia tafiti.
Ok labda usewe lengo la kuuliza kwani ubongo si tissue lilikua lipiWapi nimesema ubongo ni misuli.
Kama unabishana kuonekana mjuaji sawa, ila kama unataka kujifunza basi hayo niliokuambia nenda kaya verify.Ubongo ni sehemu muhimu ya mwili inayojumuisha tishu za neva na seli za ubongo.
Sina D mbili lakini nimekupata vizuri kabisaMmh inategemea bwana kuna kakipande kadogo kanyama kanathamani kubwa mpaka kanacost watu wengine uhai.
Achana nae huyu mkuu, kagoma kuchutama maana uungwana hauwezi. Sisi hatubishan tunamuelekeza yeye anakaza shingoOk labda usewe lengo la kuuliza kwani ubongo si tissue lilikua lipi
Mkuu naomba niishie hapa. Sikua na lengo la kubishana na wewe wala sikulenga kukufanya uonekane hujui unachosema.Tatizo mnakurupuka kubishana vitu ambavyo hamjafanyia tafiti.
Nenda kasome tena.
Huo ndiyo ukweli, sijawai kubishana, na pia "I'm not an Ego Guy".Kama unabishana kuonekana mjuaji sawa, ila kama unataka kujifunza basi hayo niliokuambia nenda kaya verify.
Nikueleza hayo kwa kutumia knowledge nilio acquire 13 years back kama mwanafunzi wa pcb.
Labda huenda mambo yamebadilika now days maana mimi kwasasa ni mtu wa computers tu
Umesema ubongo ni nyama,huo ni uongo maana acha kuendeleza ubishi usio na maana.Tatizo mnakurupuka kubishana vitu ambavyo hamjafanyia tafiti.
Nenda kasome tena.
Mbona mnaleta taarabu kwenye vitu ambavyo vina evidence.Achana nae huyu mkuu, kagoma kuchutama maana uungwana hauwezi. Sisi hatubishan tunamuelekeza yeye anakaza shingo
Nyama inaundwa na nn?Umesema ubongo ni nyama,huo ni uongo maana acha kuendeleza ubishi usio na maana.
Yeah kweli,ulielekeza vizuri sana na ulichosema ndio sahihi.Hata mimi sio daktari lakini elimu yangu ya Biology advance inatosha kabisa kujua ubongo sio nyama.Achana nae huyu mkuu, kagoma kuchutama maana uungwana hauwezi. Sisi hatubishan tunamuelekeza yeye anakaza shingo
Nyama ni tissue za misuli ,kuna skeletal,cardiac na soft musclels,haya ni maelezo mafupi tu na ya haraka kuhusu misuli.Nyama inaundwa na nn?
Ukimaliza hapo ndio turudi kwenye mada.