Kipanya na Fina Mango wako 'Live' katika kipindi cha PowerBreakfast, Clouds FM

Tresor Mandala

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2010
Posts
40,905
Reaction score
86,203
Miaka 15 ya Wale jamaa wa Mjengoni, 88.5.

==========

 
Hongera zao maana wanasambaza upendo for real
 
Hao ndio walikuwa vichwa pale Power Breakfast. Waliondoka wakabaki wa kawaida. I am sorry to say it. Sina namna nyingine.
 
Kipindi hicho nilikuwa nachelewa kwenye mishemishe bcoz of them
 
Kabisa Clouds FM radio mmefanya jambo bora. Hao walioanzisha walikuwa bora, na nyendo zao zimeendelea kufuatwa na waliopo sasa. Congrats!:clap2::clap2::clap2:
 
nimewamiss sana kina fina na masoud wa sasa ni babra tu hao wengne hamna kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…