Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Leo tena yule nguli wa habari za vikatuni Kipanya ameibuka na Mgombea wa Urais kule visiwani.
Mimi simjui ni nani lkn wenye ujuzi wa kusoma picha basi tafadhali mtujuze.
Nitaikumbuka sana zenji ya 2015 kabla ya uchaguzi kuelekea uchaguzi na baada ya Uchaguzi.
Mimi simjui ni nani lkn wenye ujuzi wa kusoma picha basi tafadhali mtujuze.
Nitaikumbuka sana zenji ya 2015 kabla ya uchaguzi kuelekea uchaguzi na baada ya Uchaguzi.