Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Sijui mwenyewe Masoud maana yeye ndiye adai kwamba anaishi kwa hofu na kisa hizo katuni zake, sasa sijajua hizo katuni zina madhara gani kiasi cha kuhatarisha maisha yake na hadi kuishi kwa hofu ingawa bado anaendelea na hizo katuni.kwani katuni kama hii yaweza kumuokotesha Mkuranga kama alivyookotwa Lwajabe ?