Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba Mamlaka zimekuwa nyingi sana
Sasa anavuka mipaka ya utabiri😂😂🤣
HahahaaaaSasa anavuka mipaka ya utabiri😂😂🤣
Tuzo na Shahada za heshma kama zote
Duuuuuh kwanini huyu mama wote wanamtabiria mabaya tuuu.... amewakosea nini lakini jamani??????? Inakera sasa..
Kodi zimezidi kuwa utitiri, leseni nyingi hadi nafasi ya kuweka picha ya Rais hakuna.
Vibali na maleseni kibao kwenye biashara hadi picha ya bibi imekosa nafasi......🤣🤣🤣🤣🤣
sa100 apumzike kwa amani
WW ni kula kulala Kwa shemeji ndio maana hauoni utitiri wa tozo!Duuuuuh kwanini huyu mama wote wanamtabiria mabaya tuuu.... amewakosea nini lakini jamani??????? Inakera sasa..
Aseee.....WW ni kula kulala Kwa shemeji ndio maana hauoni utitiri wa tozo!
Sifa za vyeti ni vingi kuliko uwezo wake.
Kuna mtu anaandika hukuKodi zimezidi kuwa utitiri, leseni nyingi hadi nafasi ya kuweka picha ya Rais hakuna
Kuna "Mtu" na "Ntu"....Kuna mtu anaandika huku
Rais Samia ni Mkakamavu na Shupavu Utafikiri Ametoka Kumaliza na kufuzu Mafunzo ya Ukomandoo
Ndugu zangu Watanzania, Nchi na Maendeleo ya Nchi yoyote ile yanaanza kwanza kujengwa kichwani na ndipo yawekwe katika karatasi na hatimaye utekelezaji. Hata nyumba inajengwa kwanza kichwani kabla ya kuwekwa tofali. Hata dereva anaye endesha gari anapaswa kupita kwanza yeye kiakili na ndipo...www.jamiiforums.com