min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Wa kwetu naomba nielezee kidogo kuhusu kufanya biashara š¤Saaafi sana ujumbe kuntu...upupu wa vibali mara leseni mara mamlaka...kufanya biashara Tanzania ni kujitoa muhanga...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa kwetu naomba nielezee kidogo kuhusu kufanya biashara š¤Saaafi sana ujumbe kuntu...upupu wa vibali mara leseni mara mamlaka...kufanya biashara Tanzania ni kujitoa muhanga...
Utasikia walioshiba Kodi zetu......Vijana mkimaliza vyuo mjiajiriš¤£š¤£š¤£
Ha haaa kakosa pa kutundika ile picha sio.....
Hakika ila sasa nimeelewaHujamuelewa mchora katuni alimaanisha nini
Ufisadi wake unamponza!! Utauzaje bandari za Tanganyika bila Ridhaa ya wenye mali?Laana hii haimuachi salama!Duuuuuh kwanini huyu mama wote wanamtabiria mabaya tuuu.... amewakosea nini lakini jamani??????? Inakera sasa..
Tukianzisha DOGE yetu huru nyingi zitafutwaKodi zimezidi kuwa utitiri, leseni nyingi hadi nafasi ya kuweka picha ya Rais hakuna.
Hili naunga mkono 100%, ofisini kwetu hadi tulivunja sehemu ya leseni tukaongeza nafasi na hivi sasa hadi tunazibebanisha.
Kama kitu hujakielewa, unanyamaza. Sasa hapa ndiyo umeandika nini? Mama gani ametabiriwa mabaya kwenye hiyo katuni?Duuuuuh kwanini huyu mama wote wanamtabiria mabaya tuuu.... amewakosea nini lakini jamani??????? Inakera sasa..