Naona kama vyeti hivyo vina sign ya yule Mzee wa Dunia zote zimekusanywa pamoja,ili kuweka mikakati kwa usaidizi wa kumbukumbu kwa kuviona vyeti.Sifa za vyeti ni vingi kuliko uwezo wake.
Zile ni leseni na vibari vya kufanyia kazi au biashara vimekua vingi kiasi ukuta wote umejaa hamna pa kumweka mwenye nchi.Nimetoka kapa, wachambuzi wadadavue..
😄😄Kodi zimezidi kuwa utitiri, leseni nyingi hadi nafasi ya kuweka picha ya Rais hakuna
Umeanza kutoa siri za kazini kwako?...Kodi zimezidi kuwa utitiri, leseni nyingi hadi nafasi ya kuweka picha ya Rais hakuna.
Hili naunga mkono 100%, ofisini kwetu hadi tulivunja sehemu ya leseni tukaongeza nafasi na hivi sasa hadi tunazibebanisha.
Acha UjingaDuuuuuh kwanini huyu mama wote wanamtabiria mabaya tuuu.... amewakosea nini lakini jamani??????? Inakera sasa..
Kumbe! Nilielewa tofauti kabisaKodi zimezidi kuwa utitiri, leseni nyingi hadi nafasi ya kuweka picha ya Rais hakuna.
Hili naunga mkono 100%, ofisini kwetu hadi tulivunja sehemu ya leseni tukaongeza nafasi na hivi sasa hadi tunazibebanisha.
Hapo picha ya mama ambayo inatakiwa ining'inie juu iko mezani halafu hizo taasisi nyingine zipo juu.Nimetoka kapa, wachambuzi wadadavue..
Kazi ya sanaa ina tafsiri pana Mkuu, mawazo yanaweza kuwa mengi na yote yakawa sahihi.Kumbe! Nilielewa tofauti kabisa
Mi nilielewa kuwa Mama katunukiwa vyeti vya heshima vingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiKazi ya sanaa ina tafsiri pana Mkuu, mawazo yanaweza kuwa mengi na yote yakawa sahihi.
Kama hutojali, tufahamishe ulivyoelewa wewe.
Kwani sio kweli ama NifahMi nilielewa kuwa Mama katunukiwa vyeti vya heshima vingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
HahahahaKodi zimezidi kuwa utitiri, leseni nyingi hadi nafasi ya kuweka picha ya Rais hakuna.
Hili naunga mkono 100%, ofisini kwetu hadi tulivunja sehemu ya leseni tukaongeza nafasi na hivi sasa hadi tunazibebanisha.
HahahahaKodi zimezidi kuwa utitiri, leseni nyingi hadi nafasi ya kuweka picha ya Rais hakuna
Sio vingi tu ni vingi mnooooooooooooo!Unaweza kuwa sahihi Mkuu, nimecheka kwa vile umeweka msisitizo kwenye vingi.
Hujamuelewa mchora katuni alimaanisha niniDuuuuuh kwanini huyu mama wote wanamtabiria mabaya tuuu.... amewakosea nini lakini jamani??????? Inakera sasa..