Mkuu huko umeamishiwa au ndo ajira yako mpya?Wadau nmepangiwa kaz Kilwa-Kipatimu Shule ya msingi Nasaya,,,,,
Naomba maelez ya kuosha kuhusu eneo husika
1-Kodi ya nyumba
2-Umbali na usafir kutokea mkuranga
3-Huduma za kijamii n.k
Kule ni Kilwa. Wewe Nenda tu Utapambanaa na hali yako ikibidiWadau nmepangiwa kaz Kilwa-Kipatimu Shule ya msingi Nasaya,,,,,
Naomba maelez ya kuosha kuhusu eneo husika
1-Kodi ya nyumba
2-Umbali na usafir kutokea mkuranga
3-Huduma za kijamii n.k
Kule bado bushi kidogo ila ukivumilia utatoka tu ilikuaje ukaomba uamishiwe huko?Kuna fursa gan huko
Usichanganyikiwe, kama unaweza kuAdopt mazingira basi hautapata shida....ila mm kule hapana aiseeNahis kuchnganyikiwa daaaaah
Kule kunaitwa kipa + timu= kipatimu ila ni pazuri kidogo sema njia mbovu balaa kipindi kama hiki cha mvua jiandae kujichimba huko huko sema kipindi cha msimu wa machungwa utapenda pia fursa za nazi kibao tuNahis kuchnganyikiwa daaaaah
Umeoa?Nahis kuchnganyikiwa daaaaah