Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Hii dhana ya kufikiri eti Kipato cha Mwanamke ni chake peke yake ila cha Mume ni cha Familia ni dhana iliyopitwa na wakati AU niseme ni dhana potofu (ya Karne ya 15)
Ikumbukwe kuwa hiyo dhana ilikuwa na maana enzi za Yesu ambapo wanawake walikuwa kazi yao ni kuzaa na kuleo familia.
Namaanisha kuwa; kutokana na mabadiliko mbalimbali yaliyopelekea wanawake wasikae tena nyumbani badala yake wapewe Fursa sawa za kusoma, Kuajiriwat, Kujiajiri na kuzalisha; ni wajibu wao sasa kushiriki kwa asilia 100% kwenye maendeleo yote ya familia.
Tuachane na wale wanaopotosha kwa kusema kipato chao ni chao ila cha Mume ndicho cha Familia kwa kutaja mistari ya Biblia; Nawauliza tu, mbona hawamalizii kusema kuwa, Biblia imewataka wakae Nyumbani wazae na kulea familia/wasifanye kazi za kuzalisha?
Ninachotaka kusema ni kuwa, Wanawake wenye vipato wasiwanyanyase wanaume kwa vipato vyao, kwani Kazi ya kulea & maendeleo ya Familia ni kazi ya Baba na Mama kwa kadri ya vipato vyao na wala sio swala za kuamua, ni WAJIBU!
Wanavyo piga kampeni za 50%/50% waongeze na malezi ya familia ni 50%/50% ili Wanaume wawaunge mkono!
Na hili Janga la ukosefu wa ajira, ukute wanawake wameajiriwa na wanaume hawana kazi; wasipo badilika wakaendelea kungangania hiyo dhana ya kutoshiriki kwa kipato cha familia, kuna janga kubwa la ukosefu wa ndoa huko mbele.
Call a spade spade and not a BIG SPOON!
Ikumbukwe kuwa hiyo dhana ilikuwa na maana enzi za Yesu ambapo wanawake walikuwa kazi yao ni kuzaa na kuleo familia.
Namaanisha kuwa; kutokana na mabadiliko mbalimbali yaliyopelekea wanawake wasikae tena nyumbani badala yake wapewe Fursa sawa za kusoma, Kuajiriwat, Kujiajiri na kuzalisha; ni wajibu wao sasa kushiriki kwa asilia 100% kwenye maendeleo yote ya familia.
Tuachane na wale wanaopotosha kwa kusema kipato chao ni chao ila cha Mume ndicho cha Familia kwa kutaja mistari ya Biblia; Nawauliza tu, mbona hawamalizii kusema kuwa, Biblia imewataka wakae Nyumbani wazae na kulea familia/wasifanye kazi za kuzalisha?
Ninachotaka kusema ni kuwa, Wanawake wenye vipato wasiwanyanyase wanaume kwa vipato vyao, kwani Kazi ya kulea & maendeleo ya Familia ni kazi ya Baba na Mama kwa kadri ya vipato vyao na wala sio swala za kuamua, ni WAJIBU!
Wanavyo piga kampeni za 50%/50% waongeze na malezi ya familia ni 50%/50% ili Wanaume wawaunge mkono!
Na hili Janga la ukosefu wa ajira, ukute wanawake wameajiriwa na wanaume hawana kazi; wasipo badilika wakaendelea kungangania hiyo dhana ya kutoshiriki kwa kipato cha familia, kuna janga kubwa la ukosefu wa ndoa huko mbele.
Call a spade spade and not a BIG SPOON!