Habari wadau.
Binadamu ana mahitaji mengi sana, na mojawapo ya hitaji la lazima la sasa ni elimu.
karibu Mahitaji yote ya binadamu yanahitaji Fedha kupatikana.
Kipato chako kinapaswa uweze kukigawanya vizuri. Ili kila hitaji la binadamu uweze kulipata kwa wakati.. kuepuka na magonjwa ya afya ya akili.
10 % ya kipato chako kwa mwaka ambayo kwa wastani ni sawa sawa na 10% ya kipato chako kwa kila mwezi kinapaswa kiweze ku cover hitaji la elimu la watoto wako wote kwa mwaka.
Kama mzazi unapata kipato milioni 1 kwa mwezi, laki moja kila mwezi inapaswa itumike kwenye elimu dunia ya watoto wako.
Yaani kwa mwaka watoto wako wasome kwenye shule yenye ada isiyozidi milioni 1 na laki 2 kwa mwaka.
Hii kanuni itakusaidia kuweza ku alocate 90 % ya kipato chako kwenye majukumu mengine ya lazima kwa ubora.
1. Nyumba utaishi nzuri kama umepanga kodi ya miezi sita inapaswa iweze kulipwa kwa kipato chako cha mwezi mmoja tu.
Mapato ya miezi miwili yakimudu ku cover mambo mawili makubwa yaani kodi na ada..
yanakupa nafasi ya kugawanya vizuri mapato yako ya miezi 10 iliyobaki kuweza kujipa mahitaji yote ya lazima bila kukopa kopa madeni, na wala kujitesa.
Na kuweza kufanya maendeleo mengine ya kiuchumi ya familia. Kama ujenzi wa nyumba, kufungua biashara ya familia, etc
Familia itavaa mavazi bora
Familia itatibiwa hospitali bora
Kwa ufupi Familia itakuwa na standard of living nzuri bila stress
Binadamu ana mahitaji mengi sana, na mojawapo ya hitaji la lazima la sasa ni elimu.
karibu Mahitaji yote ya binadamu yanahitaji Fedha kupatikana.
Kipato chako kinapaswa uweze kukigawanya vizuri. Ili kila hitaji la binadamu uweze kulipata kwa wakati.. kuepuka na magonjwa ya afya ya akili.
10 % ya kipato chako kwa mwaka ambayo kwa wastani ni sawa sawa na 10% ya kipato chako kwa kila mwezi kinapaswa kiweze ku cover hitaji la elimu la watoto wako wote kwa mwaka.
Kama mzazi unapata kipato milioni 1 kwa mwezi, laki moja kila mwezi inapaswa itumike kwenye elimu dunia ya watoto wako.
Yaani kwa mwaka watoto wako wasome kwenye shule yenye ada isiyozidi milioni 1 na laki 2 kwa mwaka.
Hii kanuni itakusaidia kuweza ku alocate 90 % ya kipato chako kwenye majukumu mengine ya lazima kwa ubora.
1. Nyumba utaishi nzuri kama umepanga kodi ya miezi sita inapaswa iweze kulipwa kwa kipato chako cha mwezi mmoja tu.
Mapato ya miezi miwili yakimudu ku cover mambo mawili makubwa yaani kodi na ada..
yanakupa nafasi ya kugawanya vizuri mapato yako ya miezi 10 iliyobaki kuweza kujipa mahitaji yote ya lazima bila kukopa kopa madeni, na wala kujitesa.
Na kuweza kufanya maendeleo mengine ya kiuchumi ya familia. Kama ujenzi wa nyumba, kufungua biashara ya familia, etc
Familia itavaa mavazi bora
Familia itatibiwa hospitali bora
Kwa ufupi Familia itakuwa na standard of living nzuri bila stress