Kipato changu kwa mwezi ni 150,000/- nipeni mbinu ya ku-save nami niondokane na umasikini wa kipato

Ningekua mahakamani na mm ndio judge ningegonga nyundo mara tatu, kuashiria CASE CLOSED...
CONTROLA umemaliza thread mzee, huu ushaur ni wa [emoji91][emoji95]
Kuufata huo ushauri ni lazima mtoa mada awe serious na haya maisha

kama ni mtoto wa mama huo ushauri atauona wa moto kama Jua la saa saba

ila akiwa serious ki maukweliii na haya maisha,Atatoboa na zaidi atapata shule ambayo

asingekaa aipate popote chini ya jua ila akifata huo ushauri atapata vyote,na baada ya kupita kwenye

bonde lake hilo akiibukia mbele mbele tambarare atakua n moja ya wale maraia huwezi waambia kitu kuhusu maisha.
 
Tafuta sehemu yenye msongamano wa watu, tafuta kijana achome mahindi, kuuza matunda, pamoja na kuuza kahawa; pia ukumbuke kuweka radio mbao kwa ajili ya kusikiliza habari za bbc
 
Kama kuna siku nimewahi kusoma ushauri mchungu na uliojaa ukweli ndani yake ni leo, CONTROLA wew ni mtu na nusu na ulichokiandika hakuna wa kukipinga na kma akifata huu ushauri lazima arudi kukushukuru hapa jukwaani! Salute mkuu![emoji119][emoji119]
 
Hiyo pesa ni ndogo kwa mtu mzima kujitegemea.
Kwa sasa hakikisha unapata mahitaji muhimu (kula,nguo na malazi) mengine yanakuja yenyewe.
Kula kwa urefu wa kamba yako.
 


Mkuu haya maneno umeyoandika huna tofauti na wale watu wanaoandika maneno matamu matamu kuhusu namna ya kuwa millionea kwa kulima matikikti .....

Hayo maandishi umeyoandika hayana uhalisia kabisa na maisha, hayo maneno ni kama just motivation story ukija kwenye real field hawezi kuishi hayo maisha ....


Usichukulie poa kabisa maisha ya kwenye vitabu (maneno ya kuandika kama haya ) na vitendo ni big no ...wanaokusuport ni watu wa officine tu ambao hawajui uhalisia wake ....

Mimi binafsi namshauri jamaa aangalie namna ya kupiga kazi nyingine ya ziada kuongeza kipato kwa mwezi .....hayo maisha ya kuishi kama msukule hawezi kumaliza miezi mitatu....
 
Ili tuweze kushauriana vizuri, kwanza chief weka matumizi yako ya jumla kwa mwezi(bajeti yako)
 
Kama kuna siku nimewahi kusoma ushauri mchungu na uliojaa ukweli ndani yake ni leo, CONTROLA wew ni mtu na nusu na ulichokiandika hakuna wa kukipinga na kma akifata huu ushauri lazima arudi kukushukuru hapa jukwaani! Salute mkuu![emoji119][emoji119]
Together Master, mimi nimempa hint za paper nililo lifanya before

yani kshule shule tunasema Pepa limevuja Afeli mwenyewe kwa kuona soo!
 
Mimi binafsi namshauri jamaa aangalie namna ya kupiga kazi nyingine ya ziada kuongeza kipato kwa mwezi .....hayo maisha ya kuishi kama msukule hawezi kumaliza miezi mitatu....
Poa Mkuu.. .. ..

Acha ibaki kama motivational speaker, huijui shida wewe

wala huijui inaonekanaje,ungekua hata ushawahi nunua ukoko

unge ona nilichoandika ni kawaida mno, imagine unapga kazi ngumu

na hela unayoipata haitosh kununua hata ukoko,unatembea usiku hujui

unaenda kulala wapi,ungekua ushawahi pitia hata 1 ya msoto 1 mtakatifu

ungejinyamazia zako,wengine mmezaliwa maisha mmeyakuta yamenyookaa kama reli

sina maana ya umezaliwa kwenye pesa,Kuzaliwa tu ukawa na wazazi wanaokubali wewe n mtoto wao

wamekuzaa (mi nakuona wakishua tu) kuna watu wanapta misoto na wazazi wamewakataa,ndugu wamewakataa

huwezi elewa kitu yyte maana hujawahi pita katika hiyo zone, Kwakua ushauri haukua wako acha mtoa mada aone ataamua kufata kipi kati ya wote tuliochangia.
 
Upo mkoa gani?
Kodi unalipa Sh.ngapi..?
Gharama za nauli zikoje?
Umbali wa kazini mpaka kibaruani ukoje?
Matumizi ya Chakula ni kiasi gani?
Kazi yako inakupa nafasi ya kufanya shughuli nyingine?
Matumizi gani mengine madogo madogo yanayojirudia mara kwa mara..?
Kitu cha kwanza ni kutambua matumizi yako,yapi ya lazima/hayaepukiki,yapi yanaweza kupunguzwa/kuachwa..
Unweza kusave kiasi gani..
Discipline ya matumizina kusave ni muhimu sana..
Njia nyingine za kuongeza kipato hakuepukiki..
Gharama za maisha zinapanda kila siku, lazima akili itafute namna ya kupambana nayo..


Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 

Acha kudanganya watu na kuandika script za kwenye movie na kuleta kwenye maisha halisi ...

Unaijua dsm wewe,watu wengi hawana pa kulala ,wengi wanatafuta hata vyumba vya Giza kuishi ....Sasa unavosema arudishe chumba atafute sehemu ya kukaa bure hapa kwa dsm lazima atalala nje iwe isiwe au ataenda kulala stend ....na kazi anayoifanga kupata hio 150k hataifanga vzurii...!

Dsm unaweza kutembea kutoka mbezi mpaka mbagara kongowe ,pita tandika ,gongolamboto ,ubungo ,lakini kupata mtu anayekuweka kwake bure ni mtihani ....

Unafikili ulivoandika hivo ni rahisi ,Mimi nakaa dsm naijua dsm watu wa huku walivo busy na Mambo yako wakatili kweli kweli ...

Leo unasema arudishe chumba akake barabarani kutafuta washikaji wamtunze ? ....atakutana na majanga ambayo ni Bora angekaaa kwenye chumba hata cha Giza kwa mwezi elfu 15 kuliko kufuata huo ushauri wako wa hovyo kabisa wa kwenye movie za kibongo ....


Mtoa maada usijaribu kufuata hayo maisha ya kimovie movie alitoandika huyo jamaa utajuata kwa hapa dsm ....

Watu wa dsm wengi ni wanyama ,wavuta sigara ,bangi ,walevi Tena walio shindikana,Wala unga ,matozi ,na mateja kibao ....Sasa unatoka kwenye maisha yako mazuri tu ambayo ungejipanga unaingia kwenye magenge ya wahuni ambao hawana mitazamo ya maendeleo mwisho wa siku utaonekana Teja na unauza bangi ...utapata majanga kibao ....

Bora utafuta chumba kibovu ila kiwe chako pekee yako ujifiche humo hata cha Giza unapolaza mgongo na kutuliza kichwa vzuri huku ukitafakali kuliko kujiunga na makundi ya hovyo kutafuta kitonga...
 

Acha kudanganya watu na kuandika script za kwenye movie na kuleta kwenye maisha halisi ...

Unaijua dsm wewe,watu wengi hawana pa kulala ,wengi wanatafuta hata vyumba vya Giza kuishi ....Sasa unavosema arudishe chumba atafute sehemu ya kukaa bure hapa kwa dsm lazima atalala nje iwe isiwe au ataenda kulala stend ....na kazi anayoifanga kupata hio 150k hataifanga vzurii...!

Dsm unaweza kutembea kutoka mbezi mpaka mbagara kongowe ,pita tandika ,gongolamboto ,ubungo ,lakini kupata mtu anayekuweka kwake bure ni mtihani ....

Unafikili ulivoandika hivo ni rahisi ,Mimi nakaa dsm naijua dsm watu wa huku walivo busy na Mambo yako wakatili kweli kweli ...

Leo unasema arudishe chumba akake barabarani kutafuta washikaji wamtunze ? ....atakutana na majanga ambayo ni Bora angekaaa kwenye chumba hata cha Giza kwa mwezi elfu 15 kuliko kufuata huo ushauri wako wa hovyo kabisa wa kwenye movie za kibongo ....


Mtoa maada usijaribu kufuata hayo maisha ya kimovie movie alitoandika huyo jamaa utajuata kwa hapa dsm ....

Watu wa dsm wengi ni wanyama ,wavuta sigara ,bangi ,walevi Tena walio shindikana,Wala unga ,matozi ,na mateja kibao ....Sasa unatoka kwenye maisha yako mazuri tu ambayo ungejipanga unaingia kwenye magenge ya wahuni ambao hawana mitazamo ya maendeleo mwisho wa siku utaonekana Teja na unauza bangi ...utapata majanga kibao ....

Bora utafuta chumba kibovu ila kiwe chako pekee yako ujifiche humo hata cha Giza unapolaza mgongo na kutuliza kichwa vzuri huku ukitafakali kuliko kujiunga na makundi ya hovyo kutafuta kitonga...
 
Kwasababu ya ku-save pesa ya Kodi ndio akaangaike kuomba hifadhi kwa watu asiowajua, akaishi kama mkimbizi, bila furaha, bila privacy nk...Sishauri.

DSM kuna sehemu ya Kodi hadi 10,000 kwamwezi sawa na 30,000...Sasa hii 30,000 ndio imfanye kuishi kama shetani.
 
Bora utafuta chumba kibovu ila kiwe chako pekee yako ujifiche humo hata cha Giza unapolaza mgongo na kutuliza kichwa vzuri huku ukitafakali kuliko kujiunga na makundi ya hovyo kutafuta kitonga...

Unahisi mimi nakaa Mkoani kigoma kule nyamuhunge si ndio?

Au unahisi mimi nilianza maisha kwa kupewa mtaji na wazazi/ndugu

Au unahisi mimi ni wale wakaa maofisini watunga story na kuziuza

Au unahisi hata kama nipo dar basi nimekuja mwaka jana si ndio?

Kijana acha nikwambie kitu,maisha hayataki watu wenye mindset kama yako

eti anatafuta kitonga! unajua maana ya kitonga wewe? kwanini nisingemshauri

akauze TIGO aongeze kipato kama shida ni kitonga? chekecha ubongo huo maisha sio marahisi hivyo

uliza walioanza maisha bila kuwa na nyumba za kuishi walikua wakilala wapi,unahisi kila

unaemuona mjini kapanga room si ndio? Unajua gharama za kupanga wewe? au unahisi kupanga ni KODI tu?

Akili yako inawaza kuwa apange room alipe kodi tu, si ndio? Una utofauti gani na wale wazazi wanazaa watoto

wakiamini mahitaji ya mtoto ni Nguo/malazi na Elimu... Fungua akili hiyo maisha ni Fumbo,si kila mtu anaweza lifumbua.
 
Good! Mshauri afanyeje sasa! Tuone ushauri wako!

si unajua maisha yanataka nini,anahtaji ku save aondokane na Umaskini

wewe ulie kaa hapo ukafkiri Akishalipa ile 30,000 ndio kamaliza,sina uhakika

kama umeshawai kupanga au kuanzia chini,sina hakika! Akili yako kbsa imekaa

imewaza ukishalipa 30k ndio bwerereee ushamaliza kila kitu,Labda umtaftie hiyo room

pembeni ya Ofisi anayofanyia kazi inayompa hiyo 150k,otherwise nawewe Fungua huo ubongo Ufikiri nnje ya BOX.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…