Kipaumbele cha Mtanzania ni uchaguzi mkuu ambao hufanyika kila baada ya miaka 5.

Kipaumbele cha Mtanzania ni uchaguzi mkuu ambao hufanyika kila baada ya miaka 5.

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Wasomi kwa wajinga, vijana kwa wazee, wanawake kwa wanaume kipaumbele chao ni uchaguzi mkuu.
Nilidhani uchaguzi mkuu ni kipaumbele cha wajinga tu kumbe wasomi ndio zaidi.
Wateule wanapomsifu Rais aliyewateua mwishoni hugusia uchaguzi mkuu.
Wapinzani wataongea yote mwishoni watagusa uchaguzi mkuu.
Napata hudhuni sana kuona kipaumbele cha nchi hii kuwa uchaguzi mkuu huku tukisahau ajenda muhimu za matumizi sahihi ya rasilimali za asili na rasilimali vijana kwa ujenzi wa Taifa.
 
Wajinga pekee ndio hupangishwa mstari kupiga kura, mimi wakiitaka yangu waje Geto.
 
Wasomi kwa wajinga, vijana kwa wazee, wanawake kwa wanaume kipaumbele chao ni uchaguzi mkuu.
Nilidhani uchaguzi mkuu ni kipaumbele cha wajinga tu kumbe wasomi ndio zaidi.
Wateule wanapomsifu Rais aliyewateua mwishoni hugusia uchaguzi mkuu.
Wapinzani wataongea yote mwishoni watagusa uchaguzi mkuu.
Napata hudhuni sana kuona kipaumbele cha nchi hii kuwa uchaguzi mkuu huku tukisahau ajenda muhimu za matumizi sahihi ya rasilimali za asili na rasilimali vijana kwa ujenzi wa Taifa.

labda wewe, wenye akili zetu tunawaza about the next generation, maana huko kuna watoto, wajukuu na vitukuu vyetu
 
labda wewe, wenye akili zetu tunawaza about the next generation, maana huko kuna watoto, wajukuu na vitukuu vyetu
Ni CCM na Watanzania ndio wakiwazacho.
Serikali ikitenda jema wanamwagia sifa Rais na kuanza kugusia uchaguzi mkuu.
Yakitendeka maovu Wapinzani nao hawaachi kutaja uchaguzi mkuu.
 
Back
Top Bottom