kipaumbele katika elimu

glory mathew

New Member
Joined
Apr 9, 2014
Posts
1
Reaction score
0
kwa muda mrefu watanzania tumekuwa tukijitahidi sana kuiga utamaduni kutoka nchi za maghalibi kwa lengo la kujiletea maendeleo lakini tunaiga vitu vingi vya kutufilisi mpaka nch na wananchi wake wamekuwa omba omba . tubadilike sasa tuanze kuiga vitu vya faida ili tutoke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…