Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
of course wamefuata ushauri ambao niliutoa mapema na nina uhakika kwenye suala la OIC watafuta vile vile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahakama (isipokuwa Mahakama ya Rufani) sio suala la Muungano. Usichanganye madesa hapa!Mahakama ya Kadhi: Wakati Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama ilivyorekebishwa mwaka 2005, inaitambua Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa ni nchi ya Kijamaa, isiyokuwa na dini (secular state) (Ibara ya 3), mfumo wa Mahakama kwa upande wa Zanzibar unahusisha pia Mahakama ya Kadhi inayoongozwa kwa Sheria za dini ya Kiislamu (Islamic Law) na ina mamlaka ya kusikiliza mashauri ya kiislamu peeke kwa mujibu wa Sharia Law.
[FONT=ArialMT, sans-serif][/FONT]My take:
Kumbe walipoliingiza suala la Mahakama ya Kadhi kwenye Ilani yao ya Uchaguzi mwaka 2005 ilikuwa tu kuwadanganya Waislam ili wazipate kura zao?Dr Ngasongwa aliye asisi mpango mzima wa Mahakama ya Kadhi dhidi ya Jumuia za Kiislam ili tu wapate kura zao anastahili adhabu gani?
CCM wanasema Serikali imelipatia tayari ufumbuzi suala la Mahakama ya Kadhi,ni ufumbuzi gani waliwapatia wanao dai mahakama ya Kadhi ili hali haijaanzishwa?
CCM wanasema kuwa Serikali haiwezi kuisaidia dhehebu fulani kuanzisha mahakama zake;je hawakujua mapema kama mahakama ya Kadhi ni suala la kidini?Kama walijua iweje basi waliingiza kwenye Ilani yao ya Uchaguzi?
Kwa kweli JK,Msekwa,Pinda,Ngasongwa na Makamba tunataka maelezo ya kina dhidi ya jambo hili sio majibu shallow kama haya ya Mzee Msekwa!
Bongoland,
Mkuu samahani kidogo hapa sijakuelewa na kusema kweli sielewi sheria zetu naomba somo kidogo nipate kuelewa.. Hivi Mkristu (mume) akioa na mwanamke akaitaka taraka (sheria ya nchi) kinyume cha sheria ya dini...Je, kuna uamuzi upi hapa?
Shukran, umesema Taraka itatolewa!.. Sasa kwa kufuata kifungu gani? mathlan ktk sheria ya ndoa Part 2 (Nature of Marriage)sehemu ya 11 (5) kinasema hivi:-sheria ya nchi itaheshimiwa na taraka itatolewa.
Shukran, umesema Taraka itatolewa!.. Sasa kwa kufuata kifungu gani? mathlan ktk sheria ya ndoa Part 2 (Nature of Marriage)sehemu ya 11 (5) kinasema hivi:-
No marriage between two Christians which was celebrated in a church in Christian form may, for so long as both the parties continue to profess the Christian faith, be converted from monogamous to polygamous and the provisions of this section shall not apply to any such marriage, notwithstanding that the marriage was preceded or succeeded by a ceremony of marriage between the same parties in civil form or any other form.
Sasa naposoma kifungu hiki nakuta dini moja imetajwa kwa ufasaha na kwamba provisions hazita apply kwa ndoa yeyote ya aina hii.. Hapa kidogo naomba msaada ni provisions zipi hizi na kwa nini zisiwe applied ktk ndoa hii hali zitakubalika ktk ndoa nyinginezo.
Shukran, umesema Taraka itatolewa!.. Sasa kwa kufuata kifungu gani? mathlan ktk sheria ya ndoa Part 2 (Nature of Marriage)sehemu ya 11 (5) kinasema hivi:-
No marriage between two Christians which was celebrated in a church in Christian form may, for so long as both the parties continue to profess the Christian faith, be converted from monogamous to polygamous and the provisions of this section shall not apply to any such marriage, notwithstanding that the marriage was preceded or succeeded by a ceremony of marriage between the same parties in civil form or any other form.
Sasa naposoma kifungu hiki nakuta dini moja imetajwa kwa ufasaha na kwamba provisions hazita apply kwa ndoa yeyote ya aina hii.. Hapa kidogo naomba msaada ni provisions zipi hizi na kwa nini zisiwe applied ktk ndoa hii hali zitakubalika ktk ndoa nyinginezo.
Bongoland,
Mkuu samahani kidogo hapa sijakuelewa na kusema kweli sielewi sheria zetu naomba somo kidogo nipate kuelewa.. Hivi Mkristu (mume) akioa na mwanamke akaitaka taraka (sheria ya nchi) kinyume cha sheria ya dini...Je, kuna uamuzi upi hapa?
kutokana na uelewa mdogo wa mashekh, hapo walitumiwa tu kama ngazi yakuipigia kura CCM wao na waumini wao kwa madai watapewa nafasi kuianzisha hiyo mahakama
lakini kwa mwenye uelewa mkubwa alijua tu kuwa hiyo ni geresha tu, yaani mahakama inayo husu taasisi ya dini ianzishwe vipi kwa gharama za watanzania wote kwa ujumla? huu ni wakati wa waislamu kote nchini kufikiria upya ni namna gani wao wataanzisha hiki chomb kwa gharama zao wenyewe