Npo mkoani MTWARAALAF hawapandishi bei...bei ya aluminium ipo juu dunian uko..huon hata aluminium hii ya kina emirates imepanda?..
Mleta mada..mbao za 2.7m ?
Mbao 2x4 12ft ni 5,300 treated..unataka mbao ngap?
Huwez kutaka mbao 500+ kwa bati 120
Site iko wap?
Wafafanulie.....Nikiwa Kama contractor niliyeshindikana nasemaje, watanzania kwa ujinga wetu ndio tumefanya kampuni ya ALAF kuongeza Bei ya bati kila kukicha.
Na yatafika Hadi laki kwa ujinga wetu
Umetengeneza tatizo halafu umelisolve mwenye na unatoa na ushauri na connection ya fundi etc.....HATARI SANANashukur Mungu mimi nmepaua yangu ya vyumba 3 kwa gharama za kawaida kabisaa isiyozidi 5.5milion bati pc 80 za Kiwanda cha tantu kiko alhamza au matumbi kulia kama unaenda buguruni baada ya kupita daraja nmeenda mwenyewe Kiwandani sjapata kwa madalali kila bati la G30 mita 3 maarufu kama bati za futi 10 nmenunua 24,500 na msimal ya bati kilo 20, kofia 21 na valey 6 kila moja 10,000
mbalo nilinunua kwa jamaa na huyo fundi anauza bei poa kiasi kwa 6000 kwa mbao ya 4by2 mbao 120 na 2by2 3000 mbao 90 na mafundi bei poa sana wamenifanyia kazi kwa laki 70 labda kwa kuwa sait iko jirani na walipo maana hawatumii nauli wala mda kufika, huyo fundi ana watu wake wanauza mbao pia na mtu akitaka nikuunganishe nao inawekana namba zao ninazo mimi nipo dar mitaa ya tabata kinyerezi..
Kwa mikoani pia wakakuja ni makubaliano yenu na wao tu, pia ukitaka kila kitu anaweza fanya hao mafundi wewe ukaenda tu kikabidhiwa nyumba yako ikiwa tayar imeezekwa yaani akanunua mbao yy mwenyewe na kuzileta saiti pia bati hivo hivo ni ww tu ukitaka ununue kila kitu ww mwenyewe sawa tu wao wapige kazi.. Tusaidiane tupeana connection jmn hali ni ngumu sana tusiwe wachoyo kuelekezana.. Nakaribisha Pm kwa walio serious
Mbao Mia 500 ni nyumba ya Aina ganiALAF hawapandishi bei...bei ya aluminium ipo juu dunian uko..huon hata aluminium hii ya kina emirates imepanda?..
Mleta mada..mbao za 2.7m ?
Mbao 2x4 12ft ni 5,300 treated..unataka mbao ngap?
Huwez kutaka mbao 500+ kwa bati 120
Site iko wap?
Labda anajengea mbao..sababu hata blandering bado zinakuwa nying...au anajenga na banda la mifugoMbao Mia 500 ni nyumba ya Aina gani
Hongera sana hatua uliyofikia. Ila gharama zako zingeweza kushuka zaidi ya hapo kutoka kwa ununuzi wa mbao. 2 x 2 zinauzwa hadi 2500, 2 x 4 nimenunua wiki 5300. Kwenye kupaua ukiwaachia mafundi kila kitu utaumia sana.Nashukur Mungu mimi nmepaua yangu ya vyumba 3 kwa gharama za kawaida kabisaa isiyozidi 5.5milion bati pc 80 za Kiwanda cha tantu kiko alhamza au matumbi kulia kama unaenda buguruni baada ya kupita daraja nmeenda mwenyewe Kiwandani sjapata kwa madalali kila bati la G30 mita 3 maarufu kama bati za futi 10 nmenunua 24,500 na msimal ya bati kilo 20, kofia 21 na valey 6 kila moja 10,000
mbalo nilinunua kwa jamaa na huyo fundi anauza bei poa kiasi kwa 6000 kwa mbao ya 4by2 mbao 120 na 2by2 3000 mbao 90 na mafundi bei poa sana wamenifanyia kazi kwa laki 70 labda kwa kuwa sait iko jirani na walipo maana hawatumii nauli wala mda kufika, huyo fundi ana watu wake wanauza mbao pia na mtu akitaka nikuunganishe nao inawekana namba zao ninazo mimi nipo dar mitaa ya tabata kinyerezi..
Kwa mikoani pia wakakuja ni makubaliano yenu na wao tu, pia ukitaka kila kitu anaweza fanya hao mafundi wewe ukaenda tu kikabidhiwa nyumba yako ikiwa tayar imeezekwa yaani akanunua mbao yy mwenyewe na kuzileta saiti pia bati hivo hivo ni ww tu ukitaka ununue kila kitu ww mwenyewe sawa tu wao wapige kazi.. Tusaidiane tupeana connection jmn hali ni ngumu sana tusiwe wachoyo kuelekezana.. Nakaribisha Pm kwa walio serious
Tufanyeje mkuuNikiwa Kama contractor niliyeshindikana nasemaje, watanzania kwa ujinga wetu ndio tumefanya kampuni ya ALAF kuongeza Bei ya bati kila kukicha.
Na yatafika Hadi laki kwa ujinga wetu
Gharama ya zege la slab kwa room ya 5*4 ni kiasi ganiNikiwa Kama contractor niliyeshindikana nasemaje, watanzania kwa ujinga wetu ndio tumefanya kampuni ya ALAF kuongeza Bei ya bati kila kukicha.
Na yatafika Hadi laki kwa ujinga wetu
Umepigwa sana kwenye mbao mkuu huko kwingine sisemiNashukur Mungu mimi nmepaua yangu ya vyumba 3 kwa gharama za kawaida kabisaa isiyozidi 5.5milion bati pc 80 za Kiwanda cha tantu kiko alhamza au matumbi kulia kama unaenda buguruni baada ya kupita daraja nmeenda mwenyewe Kiwandani sjapata kwa madalali kila bati la G30 mita 3 maarufu kama bati za futi 10 nmenunua 24,500 na msimal ya bati kilo 20, kofia 21 na valey 6 kila moja 10,000
mbalo nilinunua kwa jamaa na huyo fundi anauza bei poa kiasi kwa 6000 kwa mbao ya 4by2 mbao 120 na 2by2 3000 mbao 90 na mafundi bei poa sana wamenifanyia kazi kwa laki 70 labda kwa kuwa sait iko jirani na walipo maana hawatumii nauli wala mda kufika, huyo fundi ana watu wake wanauza mbao pia na mtu akitaka nikuunganishe nao inawekana namba zao ninazo mimi nipo dar mitaa ya tabata kinyerezi..
Kwa mikoani pia wakakuja ni makubaliano yenu na wao tu, pia ukitaka kila kitu anaweza fanya hao mafundi wewe ukaenda tu kikabidhiwa nyumba yako ikiwa tayar imeezekwa yaani akanunua mbao yy mwenyewe na kuzileta saiti pia bati hivo hivo ni ww tu ukitaka ununue kila kitu ww mwenyewe sawa tu wao wapige kazi.. Tusaidiane tupeana connection jmn hali ni ngumu sana tusiwe wachoyo kuelekezana.. Nakaribisha Pm kwa walio serious
Pm ya nini sasa na ushafunguka hapa?Nashukur Mungu mimi nmepaua yangu ya vyumba 3 kwa gharama za kawaida kabisaa isiyozidi 5.5milion bati pc 80 za Kiwanda cha tantu kiko alhamza au matumbi kulia kama unaenda buguruni baada ya kupita daraja nmeenda mwenyewe Kiwandani sjapata kwa madalali kila bati la G30 mita 3 maarufu kama bati za futi 10 nmenunua 24,500 na msimal ya bati kilo 20, kofia 21 na valey 6 kila moja 10,000
mbalo nilinunua kwa jamaa na huyo fundi anauza bei poa kiasi kwa 6000 kwa mbao ya 4by2 mbao 120 na 2by2 3000 mbao 90 na mafundi bei poa sana wamenifanyia kazi kwa laki 70 labda kwa kuwa sait iko jirani na walipo maana hawatumii nauli wala mda kufika, huyo fundi ana watu wake wanauza mbao pia na mtu akitaka nikuunganishe nao inawekana namba zao ninazo mimi nipo dar mitaa ya tabata kinyerezi..
Kwa mikoani pia wakakuja ni makubaliano yenu na wao tu, pia ukitaka kila kitu anaweza fanya hao mafundi wewe ukaenda tu kikabidhiwa nyumba yako ikiwa tayar imeezekwa yaani akanunua mbao yy mwenyewe na kuzileta saiti pia bati hivo hivo ni ww tu ukitaka ununue kila kitu ww mwenyewe sawa tu wao wapige kazi.. Tusaidiane tupeana connection jmn hali ni ngumu sana tusiwe wachoyo kuelekezana.. Nakaribisha Pm kwa walio serious
Mkuu tililika tupe madini kuhusu unafuuUmepigwa sana kwenye mbao mkuu huko kwingine sisemi
Kuna jamaa mmoja yupo pale ni agent wao ila yeye ni agent wa maduka makubwa kupitia alaf,kama unataka nikupatie namba yakeaise, kuezeka kumekuwa na mbinde sana siku hizi .mpk nimepata wazo la kutaka kuagiza mabati nje ya nchi.
ilikua rahisi sanaa ila nasikia sirikali imezuiaaise, kuezeka kumekuwa na mbinde sana siku hizi .mpk nimepata wazo la kutaka kuagiza mabati nje ya nchi.
Braza bati zisikuumize kichwa... Mambo ya sunshare sijuh alaf achana nayo... Chukua bati za elfu 25.Habari wanajamvi, nashukuru Mungu nimeweza kufika hatua ya linta katika Ujenzi wa Nyumba yangu ya makazi.
Ila leo nimejarbu kuanza kushusha hesabu ya UPAUAJI gharama zmekuwa kubwa sana
Bati za GEJi 30 ni tshs 37500- 38000.
Hizo ni bei za bati za kampun kubwa hapa mjini.
Naona gharama kwangu zmekuw kubwa hadi nimeghari kupau mwaka huu naomben ushauri either utaonisaidia kupunguz gharama.
Mbao hesabu yake m2.7.pamoja na bandaring
Bati PC 120 , Tshs m4.3+.
Hapo bado misumari na malipo ya fundi.
[emoji817][emoji817]Bati km upo dar we tafuta hizi bei utapata tu ila kubali kutafuta haswa... Uliza uliza saana.
4*2 ni 4500
2*2 ni 2000-2300
8*1 ni 10000
Bati ukitoa kiboko, alaf, sunshare, waja,
Mengi yaliyobakia ni 25,000 kushuka chini.
Inshu hao Tantu bati zake zinapauka sana.!Nashukur Mungu mimi nmepaua yangu ya vyumba 3 kwa gharama za kawaida kabisaa isiyozidi 5.5milion bati pc 80 za Kiwanda cha tantu kiko alhamza au matumbi kulia kama unaenda buguruni baada ya kupita daraja nmeenda mwenyewe Kiwandani sjapata kwa madalali kila bati la G30 mita 3 maarufu kama bati za futi 10 nmenunua 24,500 na msimal ya bati kilo 20, kofia 21 na valey 6 kila moja 10,000
mbalo nilinunua kwa jamaa na huyo fundi anauza bei poa kiasi kwa 6000 kwa mbao ya 4by2 mbao 120 na 2by2 3000 mbao 90 na mafundi bei poa sana wamenifanyia kazi kwa laki 70 labda kwa kuwa sait iko jirani na walipo maana hawatumii nauli wala mda kufika, huyo fundi ana watu wake wanauza mbao pia na mtu akitaka nikuunganishe nao inawekana namba zao ninazo mimi nipo dar mitaa ya tabata kinyerezi..
Kwa mikoani pia wakakuja ni makubaliano yenu na wao tu, pia ukitaka kila kitu anaweza fanya hao mafundi wewe ukaenda tu kikabidhiwa nyumba yako ikiwa tayar imeezekwa yaani akanunua mbao yy mwenyewe na kuzileta saiti pia bati hivo hivo ni ww tu ukitaka ununue kila kitu ww mwenyewe sawa tu wao wapige kazi.. Tusaidiane tupeana connection jmn hali ni ngumu sana tusiwe wachoyo kuelekezana.. Nakaribisha Pm kwa walio serious