Mkuu naomba kujua imekukost kiasi gani kupata line ya uwakala na eneo la biashara naomba experience yako nina laki tano nataka kuanza hiyo business mkuu?Mr. & Mrs na vijana wengine
Naomba ushauri wenu niko njiani kuanza biashara ya biashara ya Tgo pesa na mtaji niliokuwa nao ni (Tsh300000] tuu je nianze na mtaji huu mdogo au niongee kwakuchukua mkopo japo mahitaji ya eneo hili wateja wa aina zote wapo (wa pesa kidogo na kubwa )
Mkuuu kuanzisha biashara kunatokana sana na mazingra yako ila laini ya tgo pesa nilinunua tuu kwa MTUMkuu naomba kujua imekukost kiasi gani kupata line ya uwakala na eneo la biashara naomba experience yako nina laki tano nataka kuanza hiyo business mkuu?
Nawasilisha hoja