sawe4u
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 973
- 573
Mr. & Mrs na vijana wengine
Naomba ushauri wenu niko njiani kuanza biashara ya biashara ya Tgo pesa na mtaji niliokuwa nao ni (Tsh300000] tuu je nianze na mtaji huu mdogo au niongee kwakuchukua mkopo japo mahitaji ya eneo hili wateja wa aina zote wapo (wa pesa kidogo na kubwa )
Naomba ushauri wenu niko njiani kuanza biashara ya biashara ya Tgo pesa na mtaji niliokuwa nao ni (Tsh300000] tuu je nianze na mtaji huu mdogo au niongee kwakuchukua mkopo japo mahitaji ya eneo hili wateja wa aina zote wapo (wa pesa kidogo na kubwa )