Naungana na ww 🤝🤝🤝🤝bora mkate mkavu kuliko pilau la somalia
Hivi na yule rasi mpoto yumo humor?Bora nipambane na hali yangu tu bila ushirikina, Pesa za majini zina masharti kibao siyawezi.. Mara usilale kitandani mwako, mara utembee peku, mara usivae Viatu, mara usipande daladala...
Huh! Cha kufia kipi
Sijafahamu kwa kweliHivi na yule rasi mpoto yumo humor?
[emoji45][emoji45][emoji45]mmhhh.....sijui kama nayeryer yumor humorHivi na yule rasi mpoto yumo humor?
Bora nipambane na hali yangu tu bila ushirikina, Pesa za majini zina masharti kibao siyawezi. Mara usilale kitandani mwako, mara utembee peku, mara usivae Viatu, mara usipande daladala.
Huh! Cha kufia kipi
Elewa HILI Kama Kuna thawabu nyingi na kidogo alafu Kuna dhambi kubwa na kidogo
Basi kaa ukijua hata jehanam inatofautiana kulingana na kiwango Cha dhambi ulizonazo sio wote tutakuwa sehemu MOJA na waliotupa zile maiti kwenye mifuko baharini