Jplus Jr
Senior Member
- Dec 29, 2018
- 124
- 147
Ishi maisha ya utajiri unaotokana na ushirikina hata iwe kwa masharti ya kuishi muda mfupi mfano mika 10 hadi 20 ya kula bata kwa sana. Ila baada ya hapo ufe.
Au
Uishi maisha yako kwa muda mrefu haijalishi unapitia magumu na maisha ya shida kiasi gani ila tu hauko tayari kuishi maisha ya utajiri kwa njia ya ushirikina.
Nachowaza unaweza jikuta umeteseka sana katika kipindi chako kingi cha kuishi duniani na bado ukajikuta mko njia moja katika Jehanamu kwa mjibu wa vitabu vya kiroho na yule aliyeishi maisha ya bata kupitia utajiri kwa njia ya ushirikina.
Nini maoni yako juu ya hili.
Au
Uishi maisha yako kwa muda mrefu haijalishi unapitia magumu na maisha ya shida kiasi gani ila tu hauko tayari kuishi maisha ya utajiri kwa njia ya ushirikina.
Nachowaza unaweza jikuta umeteseka sana katika kipindi chako kingi cha kuishi duniani na bado ukajikuta mko njia moja katika Jehanamu kwa mjibu wa vitabu vya kiroho na yule aliyeishi maisha ya bata kupitia utajiri kwa njia ya ushirikina.
Nini maoni yako juu ya hili.