Kipi bora kununua Hiace mpya kwa 30M ama kuchukua Tata Marcopolo kwa mkopo

Hardware inaweza ikanipa 100-150k kwa siku kweli mkuu.
Hardware cement mfuko faida ni 500-1000.
Ninaangalia biashara nitakayotengeneza 150-200 padei. Nimefanya Savei ya biashara nyingi sana na changamoto zake zote.
Asante kwa wazo lako pia
mkuu unaweza kupata mkuu au tafuta sehemu huku mjini fungua duka la nafaka ni Bashara inayotembea maana kila siku lazima watu wale.Hardwire risk ni chache sana ukinunua hiyo HiAce ukiona simu ya konda au dereva unaanza kuhisi kuwa gari imegongwa au ajali while kwenye hardwire nondo cement haviozi
 
Tujue kwanza ya marcopolo kwa mkopo ni sh ngapi ndio tuweze kukushauri.
 
Mkuu hao wa hindi wanahitaji ulipe angalau 50% ya bei ambayo ni kama 60m kwa hire purchase tena hizo Tata zinalaza 120,000 hadi 150,000 kwa route za Dar manaake utaendesha miaka miwili kumaliza deni Tata hiyo intakua imedepreciate sana, lakini kikubwa zaidi vipuri vya hizo gari nivipya na bei iko juu sana hamna used, utaendesha kwa pressure yeye muhidi hana hasara atakuambia ukate Bima kubwa incase yeye gari lake linarudi......tena mtu mwenye mali ya 120m hawezi kukaa kwenye mlango au usukani stress ninyingi utagonga na pia ma konda na madereva watakupiga vita paka uwachie gari.....unaweza ukafa kabla hujamaliza mkopo huo, jua kila sehemu/kazi inawenyewe acha wazarama waendesha dala dala zao utaumia zaidi tafuta biashara nyingine salama zaidi
 
Tujue kwanza ya marcopolo kwa mkopo ni sh ngapi ndio tuweze kukushauri.
Bei yao ni kama 100M plus mkuu. Ila ukiwapa kama 30+% wanakupa wanabakiza wanakudai kitu kama 60M ivi .
 
Hifh High risk ...........
 
Hii mkuu nitajifanya kuwa kuna tajiri akanipa Gari akaniambia nitafute Dereva mkuu. Namie nitakuwemo kama mfanyakazi. Mana biashara hii changamoto wanasema kuwa ni usimamizi ndo kazi.
So nimeamua niwe naisimamia mwenyewe
 
Nenda Tata saivi wanauza kama 120M ivi ila unalipa 30% na Bima comprehessive 10M. gharama zingine ni TRA , Sumatra kama laki tano ivii. Gari ikiwa Mpya na ukipata dereva mzuri service ni oil tuu mpaka miezi sita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…