Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Habarini wanajamvi.
Ninaombeni msaada Wa kimawazo na ushauri kwa wenye uzoefu na hii biashara. IPI bora Nina 40M ninafikiria kuiwekeza kwa biashara ya huduma za usafirishahi Wa abiria.
Hapa nilipo nipo njia panda kati kununua hiace mpya inayo range 25-30M ama niende pale kwa wahindi niwape 30+M wanipe marcopolo tata mpya yenye zero mileage afu nawalipa kidogokidogo wanabaki na kadi original.
Hii inaweza ikaleta hesabu ya 200k kwa siku wakati hiace itanilazia 50k kwa siku. Hii tata mpya ninawazia mana ni mpya hivyo zile heavy services and spear replacement rate inakuwa ni ndogo kuliko hii used hiace.
Karibuni kwa wenye mawazo positives tushauriane katika kuusukuma umasikini mbali.
Ninaombeni msaada Wa kimawazo na ushauri kwa wenye uzoefu na hii biashara. IPI bora Nina 40M ninafikiria kuiwekeza kwa biashara ya huduma za usafirishahi Wa abiria.
Hapa nilipo nipo njia panda kati kununua hiace mpya inayo range 25-30M ama niende pale kwa wahindi niwape 30+M wanipe marcopolo tata mpya yenye zero mileage afu nawalipa kidogokidogo wanabaki na kadi original.
Hii inaweza ikaleta hesabu ya 200k kwa siku wakati hiace itanilazia 50k kwa siku. Hii tata mpya ninawazia mana ni mpya hivyo zile heavy services and spear replacement rate inakuwa ni ndogo kuliko hii used hiace.
Karibuni kwa wenye mawazo positives tushauriane katika kuusukuma umasikini mbali.