BM X6
JF-Expert Member
- Nov 24, 2020
- 1,376
- 4,222
Wote tunajua umuhimu wa kuoga na kila mtu ana ratiba yake ya kuoga ukiachana na wale wanaooga mara mbili kwa siku Kuna sisi ambao kuoga kwetu ni mara moja tu kwa siku, so ni kuchagua tu mwenyewe uoge Asubuhi au Usiku
Binafsi napenda kuoga Asubuhi mara nyingi, ni mara chache sana naweza kuoga usiku tena ikitokea siku nimeoga usiku basi kesho Asubuhi nitajisikia uvivu kuoga tena
KWANINI NAOGA ASUBUHI?
Naoga Asubuhi kwasababu naamini ndio muda sahihi wa kutoa uchafu wote ikiwemo na seli za ngozi zilizokufa and other bodily fluids
Pia nakua fresh zaidi kuianza siku mpya
KWANINI SIOGI USIKU
Mwili wa mwanadamu bado huwa unazalisha harufu mbaya usiku na hukusanya wadudu na seli za ngozi zilizokufa. hivyo kama Ukioga usiku itakulazimu kuoga tena Asubuhi kitu ambacho ni Anasa na upotevu wa Maji
Kwako kipi Bora na Sahihi? Kuoga Usiku au Asubuhi? Uzi unawahusu Wanaume tu, Wanawake Najua ni muhimu kuoga mara 2 Kila siku
Binafsi napenda kuoga Asubuhi mara nyingi, ni mara chache sana naweza kuoga usiku tena ikitokea siku nimeoga usiku basi kesho Asubuhi nitajisikia uvivu kuoga tena
KWANINI NAOGA ASUBUHI?
Naoga Asubuhi kwasababu naamini ndio muda sahihi wa kutoa uchafu wote ikiwemo na seli za ngozi zilizokufa and other bodily fluids
Pia nakua fresh zaidi kuianza siku mpya
KWANINI SIOGI USIKU
Mwili wa mwanadamu bado huwa unazalisha harufu mbaya usiku na hukusanya wadudu na seli za ngozi zilizokufa. hivyo kama Ukioga usiku itakulazimu kuoga tena Asubuhi kitu ambacho ni Anasa na upotevu wa Maji
Kwako kipi Bora na Sahihi? Kuoga Usiku au Asubuhi? Uzi unawahusu Wanaume tu, Wanawake Najua ni muhimu kuoga mara 2 Kila siku