Kipi bora: Kuoga Usiku au Asubuhi?

Kipi bora: Kuoga Usiku au Asubuhi?

Tafiti zinasema hakuna athari zozote za mtu kuishi bila kuoga.
Huku Tz ni joto kali, hivyo tunaoga ili kuupa mwili hali ya utulivu. Lkn Tz hii hii sehemu kama MAKETE kuoga sio ishu ya maana kwa kuwa hakuna madhara ya kimwili yapatikanayo kutokana na kutokuoga.
 
Mbeya kuna muda nilikuwa nakaa bila kuoga hadi nasahau mara ya mwisho kuoga ilikuwa lini
 
Kwahiyo nyumba huko, hazifungwi Air conditioner, na mafeni yapo, na kuoga kama kawaida Dar mzima hakuna baridi ya kumzuia mtu kuoga.

Mafinga kuna kipindi ukiwa mfifu, unaweza kaa wiki mzima, bila kuoga na usinuke. Lakini hivyo tulikua tunachemsha maji tunaoga.
Du wewe kweli mhehe ukiwa mfifu [emoji23][emoji23]
 
Dar ukipanda daladala unakutana na wanaume wananuka uvundo, sijui ndo fangasi na meaoga siku hiyo.
 
unaeza ukaoga usikuu ukajiona umatakata...ukaoga na asubuhi ... ukijifuta na taulo jeupe peee utajichekaa kwa jinsi linavyochafukaaa

anyway ngozi inatoa uchafu na seli zingine zafwaaa cha muhimu usafi wa mwiliii
 
Wote tunajua umuhimu wa kuoga na kila mtu ana ratiba yake ya kuoga ukiachana na wale wanaooga mara mbili kwa siku Kuna sisi ambao kuoga kwetu ni mara moja tu kwa siku, so ni kuchagua tu mwenyewe uoge Asubuhi au Usiku

Binafsi napenda kuoga Asubuhi mara nyingi, ni mara chache sana naweza kuoga usiku tena ikitokea siku nimeoga usiku basi kesho Asubuhi nitajisikia uvivu kuoga tena

KWANINI NAOGA ASUBUHI?

Naoga Asubuhi kwasababu naamini ndio muda sahihi wa kutoa uchafu wote ikiwemo na seli za ngozi zilizokufa and other bodily fluids

Pia nakua fresh zaidi kuianza siku mpya

KWANINI SIOGI USIKU

Mwili wa mwanadamu bado huwa unazalisha harufu mbaya usiku na hukusanya wadudu na seli za ngozi zilizokufa. hivyo kama Ukioga usiku itakulazimu kuoga tena Asubuhi kitu ambacho ni Anasa na upotevu wa Maji

Kwako kipi Bora na Sahihi? Kuoga Usiku au Asubuhi? Uzi unawahusu Wanaume tu, Wanawake Najua ni muhimu kuoga mara 2 Kila siku
View attachment 2264661
Usiku tu inatosha, na inategemea na hali ya hewa
 
Kwangu swala kuoga, halina ni kila mwili unapohitaji.
mfano: Nimeoga alfajiri, nikaenda kufanya mazoezi nikirudi naoga. Nikirudi nyumbani toka kwenye shuguri za kiuchumi, nitaoga, yaani kuoga kwangu hakuna ratiba.
Safi
 
Nakumbuka wakati nasoma Tukuyu-Mbeya nikiwa O-level........baridi la kule ni kama upo Ujerumani na wala sio mchezo wala utani.,.......Nina rekodi ya kufikisha mwezi 1 bila kuoga coz nilikuwa nipo kwenye principle yangu ya bila kutoa jasho siwezi kuoga

Ila baada ya mwezi kuisha ndo nikalazimisha niende nikafanye mazoezi makali sana ili nitoe jasho na nikauombe radhi huu mwili

Halafu issue ya kuoga kwangu haijawahi kuwa priority kama Taifa inabidi tuanze kufikiria mambo ya msingi na sio kuoga
Umetisha sana Mkurugenzi, umenikumbusha nilivyokuwa Boarding Uganda, Kuna mTz mwenzetu huyo jamaa alikaa mwezi mzima hajagusa Maji, Ukiachana na baridi la kule kuwa kali kipindi hicho lakn pia Maji yalikuwa ni yakuyapangia foleni

Sasa jamaa alikuwa anashangaa watu eti baridi hili lote Bado nipoteze muda kupanga foleni ndefu kuchota Maji? Akaona haiwezekani, Sasa bhana utamaduni wa kule ukienda chooni unaenda na tissue paper.

Sasa kuna kademu kalikokuwa kanakaa nae dawati moja darasani akaenda kumshtaki kwa dada zetu wa Tz walikuwa Form 6, kikao kikaitishwa Watanzania wote tukutane nyuma ya kanteen, tukaanza kusemwa "jamani eeh mjitahidi kuoga mnatoa harufu mbaya watu wanalalamika hasa wewe H"

Mwamba H toka siku Ile hakuna siku alimisi kuoga, mm niliendelea na utaratibu wangu, nikioga Leo kesho siogi Hadi kesho kutwa hvyo hvyo
 
Umetisha sana Mkurugenzi, umenikumbusha nilivyokuwa Boarding Uganda, Kuna mTz mwenzetu huyo jamaa alikaa mwezi mzima hajagusa Maji, Ukiachana na baridi la kule kuwa kali kipindi hicho lakn pia Maji yalikuwa ni yakuyapangia foleni

Sasa jamaa alikuwa anashangaa watu eti baridi hili lote Bado nipoteze muda kupanga foleni ndefu kuchota Maji? Akaona haiwezekani, Sasa bhana utamaduni wa kule ukienda chooni unaenda na tissue paper.

Sasa kuna kademu kalikokuwa kanakaa nae dawati moja darasani akaenda kumshtaki kwa dada zetu wa Tz walikuwa Form 6, kikao kikaitishwa Watanzania wote tukutane nyuma ya kanteen, tukaanza kusemwa "jamani eeh mjitahidi kuoga mnatoa harufu mbaya watu wanalalamika hasa wewe H"

Mwamba H toka siku Ile hakuna siku alimisi kuoga, mm niliendelea na utaratibu wangu, nikioga Leo kesho siogi Hadi kesho kutwa hvyo hvyo
Umetisha sana Mkurugenzi, umenikumbusha nilivyokuwa Boarding Uganda, Kuna mTz mwenzetu huyo jamaa alikaa mwezi mzima hajagusa Maji, Ukiachana na baridi la kule kuwa kali kipindi hicho lakn pia Maji yalikuwa ni yakuyapangia foleni

Sasa jamaa alikuwa anashangaa watu eti baridi hili lote Bado nipoteze muda kupanga foleni ndefu kuchota Maji? Akaona haiwezekani, Sasa bhana utamaduni wa kule ukienda chooni unaenda na tissue paper.

Sasa kuna kademu kalikokuwa kanakaa nae dawati moja darasani akaenda kumshtaki kwa dada zetu wa Tz walikuwa Form 6, kikao kikaitishwa Watanzania wote tukutane nyuma ya kanteen, tukaanza kusemwa "jamani eeh mjitahidi kuoga mnatoa harufu mbaya watu wanalalamika hasa wewe H"

Mwamba H toka siku Ile hakuna siku alimisi kuoga, mm niliendelea na utaratibu wangu, nikioga Leo kesho siogi Hadi kesho kutwa hvyo hvyo
Huyu ni mm kabisa
 
Katika vitu siwezi kuvumilia ni harufu mbaya halafu niko very sensitive yaan hata iweje nitaisikia tu,
Mtu ananuka Mdomo,
Mtu ananuka Makwapa,
Mtu ananuka Miguu,
Mtu anatoa Pumzi yenye harufu mbaya,

Siweziiii lazima nikwambie tu, ukichukia shauri yako, kikubwa ujumbe umefika na ukae mbali na mimi kama huwezi kurekebisha.
 
Back
Top Bottom