Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,374
- 2,280
Duniani umekuja kuoga?Sasa kama maji yapo kwanini nisioge hata mara sita kwa siku...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duniani umekuja kuoga?Sasa kama maji yapo kwanini nisioge hata mara sita kwa siku...
Duh!!! Ww mume wako anashida. Inabidi acheze na Maji muda wote na ma Sensodyne ya kutoshaKatika vitu siwezi kuvumilia ni harufu mbaya halafu niko very sensitive yaan hata iweje nitaisikia tu,
Mtu ananuka Mdomo,
Mtu ananuka Makwapa,
Mtu ananuka Miguu,
Mtu anatoa Pumzi yenye harufu mbaya,
Siweziiii lazima nikwambie tu, ukichukia shauri yako, kikubwa ujumbe umefika na ukae mbali na mimi kama huwezi kurekebisha.
Hakuna kiumbe kisichonuka, hasa hao wanajisema hawaogi wakiona ni sifa kumbe wanajidhalilisha tu,
Hata kuwe na baridi vipi kwanini usijisafishe walau kwa kujisponge tu,
Wanajidanganya na Manukato, sasa hayo Manukato yakutane na harufu ya mwili weeeh utatapika.
Sina mkeNa mke wako hivyo hivyo?
Wanaume hatujaumbiwa kuogaMwili una kawaida ya kutengeneza uchafu kila baada ya muda fulani sio usubiri week au miezi ndio uoge, ndio mana tukikutana kwene mikusanyiko kuna pipo zinatema balaa kumbe haziogi
Oga bwanaWanaume hatujaumbiwa kuoga
🤣🤣Hivi kuna watu bado wanayo hii tabia ya kuoga?
Nakumbuka wakati nasoma Tukuyu-Mbeya nikiwa O-level........baridi la kule ni kama upo Ujerumani na wala sio mchezo wala utani.,.......Nina rekodi ya kufikisha mwezi 1 bila kuoga coz nilikuwa nipo kwenye principle yangu ya bila kutoa jasho siwezi kuoga
Ila baada ya mwezi kuisha ndo nikalazimisha niende nikafanye mazoezi makali sana ili nitoe jasho na nikauombe radhi huu mwili
Halafu issue ya kuoga kwangu haijawahi kuwa priority kama Taifa inabidi tuanze kufikiria mambo ya msingi na sio kuoga
Na mke wako hivyo hivyo?
Katika vitu siwezi kuvumilia ni harufu mbaya halafu niko very sensitive yaan hata iweje nitaisikia tu,
Mtu ananuka Mdomo,
Mtu ananuka Makwapa,
Mtu ananuka Miguu,
Mtu anatoa Pumzi yenye harufu mbaya,
Siweziiii lazima nikwambie tu, ukichukia shauri yako, kikubwa ujumbe umefika na ukae mbali na mimi kama huwezi kurekebisha.
Wafanyakazi wa ndani waliopitia kwangu wengi wao harufu ya mwili ilikua haishi, hata aoge vipi, ajipake manukato vipi lakini harufu iko pale pale, haina tofauti na beberu la mbuzi. Na sio wao tu, watu weusi wengi wao huku nilipo wako hivyo. Sijui ni kwanini!!
Mim nisipooga nasikia nawashwa mwili kama vitu vinatembea [emoji23][emoji23][emoji23] mnawezaje kutokuoga jamani
Baada ya muda harufu huisha lakin ukimnunulia deodorant na akaoga mara tatu kwa siku na na ajisugue na limao makwapani
Kuna viumbe hata kuswaki tu mtihani
Wanaopanda mwendo kasi hali ya kuwa ni wasafi nawaonea huruma aise
Kuna mmoja alipewa deodorant ikagonga mwamba