Kipi bora: Kuoga Usiku au Asubuhi?

Kipi bora: Kuoga Usiku au Asubuhi?

kuna watu wasipooga hata masaa 6 tu harufu yake mzoga wa paka ukasome
 
Kula lazima kuoga hiyari. Nakumbuka boarding kipindi cha baridi watu tunakata mwezi hakuna kuoga. Ni kunawa tu.
Boarding mi ilikuwaga kuoga ni wastani mara tatu []kwa wiki...... ilionekana nipo kundi la wanaopenda kuogaoga.

Kawaida ya wengi ilikuwaga mara moja ikizidi sana mara mbili tu kwa wiki haswa weekend, haswaaaaa jumapili 😂😂😂
 
Wote tunajua umuhimu wa kuoga na kila mtu ana ratiba yake ya kuoga ukiachana na wale wanaooga mara mbili kwa siku Kuna sisi ambao kuoga kwetu ni mara moja tu kwa siku, so ni kuchagua tu mwenyewe uoge Asubuhi au Usiku

Binafsi napenda kuoga Asubuhi mara nyingi, ni mara chache sana naweza kuoga usiku tena ikitokea siku nimeoga usiku basi kesho Asubuhi nitajisikia uvivu kuoga tena

KWANINI NAOGA ASUBUHI?

Naoga Asubuhi kwasababu naamini ndio muda sahihi wa kutoa uchafu wote ikiwemo na seli za ngozi zilizokufa and other bodily fluids

Pia nakua fresh zaidi kuianza siku mpya

KWANINI SIOGI USIKU

Mwili wa mwanadamu bado huwa unazalisha harufu mbaya usiku na hukusanya wadudu na seli za ngozi zilizokufa. hivyo kama Ukioga usiku itakulazimu kuoga tena Asubuhi kitu ambacho ni Anasa na upotevu wa Maji

Kwako kipi Bora na Sahihi? Kuoga Usiku au Asubuhi? Uzi unawahusu Wanaume tu, Wanawake Najua ni muhimu kuoga mara 2 Kila siku
View attachment 2264661
Ukiwa sehemu zenye baridi Kama huku ARUSHA kuoga kipindi Kama hiki ni mtihani...ila sisi tuanoendesha German cars kuoga Lazima hata zaidi ya mara mbili kwa siku Kama umepata safari za kwenda home
 
Kula lazima, kuoga hiyari.
Huu wimbo kuna mwamba fulani boarding huko alienda bimbani akakinga maji yake freshi kaenda nayo bafunii kavua kibukta ile kuyatest na mkono kaona ya baridi mnooo!!

Aaaaah, hapendi ujinga, usintanie kaahirisha hapohapo ghafla na maji na ndoo kaacha hapohapo, ni taulo begani kasepa!

Sasa wakati anaondoka ndo akawa anaimba kwa sauti zote kula lazimaaaaa..... kuoga hiyariiiiii🎶
 
Issue ya kuoga kwangu tangu nikiwa kwenye childhood ni tatizo sana kwangu yaani mpk nipigwe fimbo au nitishiwe kunyimwa mchele

Hata now ukubwani......siwezi kwenda kuoga ikiwa sijatoka jasho hata kidogo na kupigwa vumbi,hivyo ndo vipimo vyangu vya kuoga.....tofauti na hapo kufikisha Siku 2 sijaoga ni kawaida sana
[emoji1787][emoji1787] utakuwa una undugu na paka.
 
Wote tunajua umuhimu wa kuoga na kila mtu ana ratiba yake ya kuoga ukiachana na wale wanaooga mara mbili kwa siku Kuna sisi ambao kuoga kwetu ni mara moja tu kwa siku, so ni kuchagua tu mwenyewe uoge Asubuhi au Usiku

Binafsi napenda kuoga Asubuhi mara nyingi, ni mara chache sana naweza kuoga usiku tena ikitokea siku nimeoga usiku basi kesho Asubuhi nitajisikia uvivu kuoga tena

KWANINI NAOGA ASUBUHI?

Naoga Asubuhi kwasababu naamini ndio muda sahihi wa kutoa uchafu wote ikiwemo na seli za ngozi zilizokufa and other bodily fluids

Pia nakua fresh zaidi kuianza siku mpya

KWANINI SIOGI USIKU

Mwili wa mwanadamu bado huwa unazalisha harufu mbaya usiku na hukusanya wadudu na seli za ngozi zilizokufa. hivyo kama Ukioga usiku itakulazimu kuoga tena Asubuhi kitu ambacho ni Anasa na upotevu wa Maji

Kwako kipi Bora na Sahihi? Kuoga Usiku au Asubuhi? Uzi unawahusu Wanaume tu, Wanawake Najua ni muhimu kuoga mara 2 Kila siku
View attachment 2264661
Kuoga asubui ni poa.... Jion unajipaka sabuni unajisugua kidg alaf nduki
 
Mkuu na mihangaiko ile na ‘Mzee! na zile trip huogagi usiku kumbe?!
 
Vyakula gani ivyo mkuu Uhakika?
Mfano mtu akila mchanganyiko wa mikaangizo, viungo vingivingi mapochopocho, nyamanyama hivi akijamba si unaona harufu yake....... sasa hiyo inabadilisha pia na harufu ya mwili pia.

Lakini pia mlo wake ukiwa matunda mbogamboga mananasi harufu ya kila kitu kikutokacho [jumuisha harufu] haiwi kali. Tena inakuwa tamu. Kuna wanawake waliulizwa harufu mbalimbali za wapenzi wao, wanaume vegetarian walipewa maksi nzuri

USHAHIDI: Harufu ya vimtokavyo ng'ombe, kinyesi na jumla VS harufu simtokazo nguruwe. Au mbwa VS mbuzi
 
Back
Top Bottom