Nakaziaa!! plus mizunguko ya shughuli/ majukumu yako ni lazima uoge tu mkuu!Kama hujaoa utaoga mara moja au ukiamua usioge kabisa. Ila kama ushakua kwenye kiapo usipooga utaanza kuwa kero
Kuoga ni kwa kadiri ya muda .....hata mara 10.Sasa kama maji yapo kwanini nisioge hata mara sita kwa siku...
We jinsia ganiSasa kama maji yapo kwanini nisioge hata mara sita kwa siku...
Ila K huwa unaiosha? Sivyo?Mm sipend kuoga
Hiyo ni kwa dar 😂Mara 6?