Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Familia nyingi zimefeli baada ya kumaliza mali kama mashamba,mifugo n.k kwa kuwasomesha watoto wao mwisho watoto wao wamekuja na vyeti nyumbani.
Elimu ya maisha yamekosa hata elimu waliyoipata huko shuleni wamerudi mtaani haitumiki.
elimu yako ndo inayokutesa.... kazi unayofanya sasa hivi ndo hiyo hiyo ulosomea hongera.
Pamoja sana sikupingiZaa watoto wachache na miliki Mali nyingi Hakikisha mtoto Hapatikani katika haya makundi akiwa na umri wa 12-40
Mlevi
mzinifu
shoga/msagaji
Mchawi/Mlozi
Elimu ya shuleni hii sio bora sanaElimu ni muhimu ila sio kuuza Mali zote, mpe elimu kulingana na uwezo wako, ajiendeleze mwenyewe baadae.
Kumsomesha mtoto sio fadhila lakin. Kwamba uje kulipwa baadae. Kusomesha ni wajibu. Ukiweza somesha sana tena shule ya bei ghali unavyoweza lakin usisahau kutafuta maisha yako binafsi na kuhakikisha unaacha alama hapa duniani. Wasaidie kadiri inavyowezekana wasiojiweza hasa watoto yatima kuwasaidia kusoma maana baada ya kupata pesa hakuna jipya Zaid ya kuona faraja watu uliowasaidia.Familia nyingi zimefeli baada ya kumaliza mali kama mashamba,mifugo n.k kwa kuwasomesha watoto wao mwisho watoto wao wamekuja na vyeti nyumbani.
Elimu ya maisha yamekosa hata elimu waliyoipata huko shuleni wamerudi mtaani haitumiki.
elimu yako ndo inayokutesa.... kazi unayofanya sasa hivi ndo hiyo hiyo ulosomea? Au umejiongeza
Shukhuran 🙏 mesej imefikaBaki na Mali zako ,mpeleke mtoto shule za kawaida tu ,huku ukimfundisha jinsi ya kupambana na maisha .
Huko mbeleni watu waliosoma sana ndio watakua na maisha magumu ,maana wengi hawajui jinsi ya kupambana na maisha wanategemea vyeti viwabebe huku ajira zenyewe hakuna , wengi wao hawawezi kufanya kazi za kawaida Kwa mfano biashara za uchuuzi wakiamini hizo hufanya watu ambao hawajasoma , kumbe kupitia hizo hizo biashara wenzao wanatoboa tu .
Pia Kuna wengine wamesomeshwa na hizo hizo biashara ndogo ndogo .
Nakazia tuwafundishe watoto jinsi ya kupambana na maisha
Bongo kuwa na elimu ni sawa kupata kaz n bahatFamilia nyingi zimefeli baada ya kumaliza mali kama mashamba,mifugo n.k kwa kuwasomesha watoto wao mwisho watoto wao wamekuja na vyeti nyumbani.
Elimu ya maisha yamekosa hata elimu waliyoipata huko shuleni wamerudi mtaani haitumiki.
elimu yako ndo inayokutesa.... kazi unayofanya sasa hivi ndo hiyo hiyo ulosomea? Au umejiongeza
Mamtoni mtoto wa kiumwe anapigwa min Kabang na full Kabang utajua hapo sasaUza mali mpeleke mtoto mamtoni