Nimeamua tu kuwashirikisha baada ya kuombwa ushauri, kwa upande wangu ni sahihi kabisa
na wala sina hofu kabisa juu ya hilo.
Jamaa mambo yamembana sana hana kazi kwa sasa, kifupi ameyumba sana kimaisha.
Tayari ameshampata mteja anayehitaji nyumba yake kwa milioni 75 kutokana na ubora
wa eneo ilipo hiyo nyumba.
Wengi wanamshauri asiuze, binafsi naona woga wa kuuza nyumba hauna maana kabisa
auze kisha anunue nyumba ya nafuu maisha yaendelee.
Vipi mwana JF nipe mtazamo wako kipi bora kuuza au kutumia kama dhamana ya mkopo?
Mbona unajibu upande mmoja tu? Mwambie pia mwisho wa siku anaweza kupoteza nyumba na bado akawa na deni.
Tunajua nyumba 75m. Je anadaiwa kiasi gani?Nimeamua tu kuwashirikisha baada ya kuombwa ushauri, kwa upande wangu ni sahihi kabisa
na wala sina hofu kabisa juu ya hilo.
Jamaa mambo yamembana sana hana kazi kwa sasa, kifupi ameyumba sana kimaisha.
Tayari ameshampata mteja anayehitaji nyumba yake kwa milioni 75 kutokana na ubora
wa eneo ilipo hiyo nyumba.
Wengi wanamshauri asiuze, binafsi naona woga wa kuuza nyumba hauna maana kabisa
auze kisha anunue nyumba ya nafuu maisha yaendelee.
Vipi mwana JF nipe mtazamo wako kipi bora kuuza au kutumia kama dhamana ya mkopo?
Sawa kabisa lakini kwa mtu ambaye anajitambua mil 20 unaweza kusimama nayoTatizo unaweza kumshauri kuuza kwa hiyo mil 75 wakati tayari ana commitment na madeni ya zaidi ya mil 30 tayari..hapo piga hesabu atabakiwa na sh ngapi? Ukitazama hiyo 75 unaweza kuiona nyingi kumbe kiu halisia ana mil 20 tu hapo..ni hatari kumshauri mtu aliyefirisika na ana stress kuuza asset kama nyumba!!.. utamtia shimoni zaidi..msilazimishe kuishi kama zamani ugumu wa maisha kwa sasa hauepukiki na upo kwa watu wengi na usiwafanye mkapoteza assets zenu kwa kulazimisha ku mantain maisha kama ya zamani
Sawa kabisa lakini kwa mtu ambaye anajitambua mil 20 unaweza kusimama nayo
vema na ukarudi kwenye nafasi yako ya awali
Unauza tu mkuu ili upate mtaji.