GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,286
- 6,736
Nimeamua tu kuwashirikisha baada ya kuombwa ushauri, kwa upande wangu ni sahihi kabisa
na wala sina hofu kabisa juu ya hilo.
Jamaa mambo yamembana sana hana kazi kwa sasa, kifupi ameyumba sana kimaisha.
Tayari ameshampata mteja anayehitaji nyumba yake kwa milioni 75 kutokana na ubora
wa eneo ilipo hiyo nyumba.
Wengi wanamshauri asiuze, binafsi naona woga wa kuuza nyumba hauna maana kabisa
auze kisha anunue nyumba ya nafuu maisha yaendelee.
Vipi mwana JF nipe mtazamo wako kipi bora kuuza au kutumia kama dhamana ya mkopo?
na wala sina hofu kabisa juu ya hilo.
Jamaa mambo yamembana sana hana kazi kwa sasa, kifupi ameyumba sana kimaisha.
Tayari ameshampata mteja anayehitaji nyumba yake kwa milioni 75 kutokana na ubora
wa eneo ilipo hiyo nyumba.
Wengi wanamshauri asiuze, binafsi naona woga wa kuuza nyumba hauna maana kabisa
auze kisha anunue nyumba ya nafuu maisha yaendelee.
Vipi mwana JF nipe mtazamo wako kipi bora kuuza au kutumia kama dhamana ya mkopo?