Lihove2017
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 423
- 560
Umenena mkuu kuuza asset alafu huna hata ujuzi wowote wa biashara ndo unakuwa maskini kabisa.bora ajipange kivingine sio kuuza asset.Tatizo unaweza kumshauri kuuza kwa hiyo mil 75 wakati tayari ana commitment na madeni ya zaidi ya mil 30 tayari..hapo piga hesabu atabakiwa na sh ngapi? Ukitazama hiyo 75 unaweza kuiona nyingi kumbe kiu halisia ana mil 20 tu hapo..ni hatari kumshauri mtu aliyefirisika na ana stress kuuza asset kama nyumba!!.. utamtia shimoni zaidi..msilazimishe kuishi kama zamani ugumu wa maisha kwa sasa hauepukiki na upo kwa watu wengi na usiwafanye mkapoteza assets zenu kwa kulazimisha ku mantain maisha kama ya zamani
Kumbe hana chochote kabisa isipokuwa huyo nyumba ya 75m? na hawezi kupata kazi kabisa? kwa nini asikodishe nyumba hiyo achukue kodi maisha yaendelee?Hebu fafanua kidogo.
Yuko mzee mmoja msaafu alikuwa Dereva serikalini, aliuza nyumba akanunua gari
baadae akajenga tena.
Kumbe hana chochote kabisa isipokuwa huyo nyumba ya 75m? na hawezi kupata kazi kabisa? kwa nini asikodishe nyumba hiyo achukue kodi maisha yaendelee?
Hujatoa ushauri mkuu,kwa upande wangu mwambie auze nyumbe.Tatizo unaweza kumshauri kuuza kwa hiyo mil 75 wakati tayari ana commitment na madeni ya zaidi ya mil 30 tayari..hapo piga hesabu atabakiwa na sh ngapi? Ukitazama hiyo 75 unaweza kuiona nyingi kumbe kiu halisia ana mil 20 tu hapo..ni hatari kumshauri mtu aliyefirisika na ana stress kuuza asset kama nyumba!!.. utamtia shimoni zaidi..msilazimishe kuishi kama zamani ugumu wa maisha kwa sasa hauepukiki na upo kwa watu wengi na usiwafanye mkapoteza assets zenu kwa kulazimisha ku mantain maisha kama ya zamani
Benki gani Tz wanatoa riba 14%? Nyingi ni 18-22%. Sasa ukope hela ufanye biashara upate faida na 22% extra ya kurudisha benki lazima upate faida % kubwa sana.Mfanyabiahsra makini hawekezi hela yake mwenyewe, anakopa, anarudisha riba..riba zipo low as much as 14% p.a
Nimeamua tu kuwashirikisha baada ya kuombwa ushauri, kwa upande wangu ni sahihi kabisa
na wala sina hofu kabisa juu ya hilo.
Jamaa mambo yamembana sana hana kazi kwa sasa, kifupi ameyumba sana kimaisha.
Tayari ameshampata mteja anayehitaji nyumba yake kwa milioni 75 kutokana na ubora
wa eneo ilipo hiyo nyumba.
Wengi wanamshauri asiuze, binafsi naona woga wa kuuza nyumba hauna maana kabisa
auze kisha anunue nyumba ya nafuu maisha yaendelee.
Vipi mwana JF nipe mtazamo wako kipi bora kuuza au kutumia kama dhamana ya mkopo?
Hujatoa ushauri mkuu,kwa upande wangu mwambie auze nyumbe.
House is an liability
great thinker
....Ana Familia, Mke na Watoto ? - Asiuze...Nimeamua tu kuwashirikisha baada ya kuombwa ushauri, kwa upande wangu ni sahihi kabisa
na wala sina hofu kabisa juu ya hilo.
Jamaa mambo yamembana sana hana kazi kwa sasa, kifupi ameyumba sana kimaisha.
Tayari ameshampata mteja anayehitaji nyumba yake kwa milioni 75 kutokana na ubora
wa eneo ilipo hiyo nyumba.
Wengi wanamshauri asiuze, binafsi naona woga wa kuuza nyumba hauna maana kabisa
auze kisha anunue nyumba ya nafuu maisha yaendelee.
Vipi mwana JF nipe mtazamo wako kipi bora kuuza au kutumia kama dhamana ya mkopo?