Lihove2017
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 423
- 560
Nyumba ni asset, asseti ni kitu kinachogenerate income.kama hiyo nyumba iko oversize kwake auze aje huku msongola kwetu anapata ya mil 15 halafu anaanza mishe upya.kama ni mchaga atarudi kwenye reli
Ila kama ndiyo wale wenzangu wa mpe mruke hapo atakuwa amesha jichimbia kaburi.maana atataka auze nyumba ila aendelee kuishi sinza kwa kupanga
Ila kama ndiyo wale wenzangu wa mpe mruke hapo atakuwa amesha jichimbia kaburi.maana atataka auze nyumba ila aendelee kuishi sinza kwa kupanga