TozzyMay
JF-Expert Member
- Dec 30, 2023
- 482
- 1,787
Haya mambo yanachanganya sana. Mtu anakufanyia ubaya halafu bado anakutaka radhi. Muda mwingine kosa lenyewe sio kosa linalotokea Kwa hatua Moja, unakuta Hadi kosa linalotokea limepita hatua kama tatu.
Sawa, unaamua kusamehe na kusema naachilia yapite , kosa linakuja linajirudia Tena ukipiga mahesabu unaona kosa kama lilianza Muda mrefu Hadi likatokea Tena, unaona kama hakustahili msamaha wa awali, unashauriwa usamehe Tena, "Ubaya ulipwe na wema"
Hapa napata swali hivi "ujinga ni Nini?"
Mtu mwingine anakukosea ,anajua kama amekukosea anaendelea na ishu zake , hajali chochote kama kakukosea. Na wewe unapotezea unasamehe kimya kimya yanaisha. Maisha yanasonga mbele ,makosa yanajirudia Tena?
Hii ndiyo inapelekea mtu mwingine kuthibitisha kwenye kila maamuzi yake "ubaya ulipwe na Ubaya" 'wema ulipwe na wema'.
Kipi Bora sasa ' kusamehe au kulipa kisasi? ' Hii inachanganya sana.
Sawa, unaamua kusamehe na kusema naachilia yapite , kosa linakuja linajirudia Tena ukipiga mahesabu unaona kosa kama lilianza Muda mrefu Hadi likatokea Tena, unaona kama hakustahili msamaha wa awali, unashauriwa usamehe Tena, "Ubaya ulipwe na wema"
Hapa napata swali hivi "ujinga ni Nini?"
Mtu mwingine anakukosea ,anajua kama amekukosea anaendelea na ishu zake , hajali chochote kama kakukosea. Na wewe unapotezea unasamehe kimya kimya yanaisha. Maisha yanasonga mbele ,makosa yanajirudia Tena?
Hii ndiyo inapelekea mtu mwingine kuthibitisha kwenye kila maamuzi yake "ubaya ulipwe na Ubaya" 'wema ulipwe na wema'.
Kipi Bora sasa ' kusamehe au kulipa kisasi? ' Hii inachanganya sana.