Kwa mfano monks,monk anaungama kosa.
Anaulizwa"Unalitambua kwamba ni kosa?"
Anasema,ndiyo.
Anaulizwa,"Unaahidi kwamba hutalirudia tena?"
Anasema, ndiyo.
Basi,anaambiwa,katika dini yetu mtu akitambua kosa na akiahidi kutolirudia,hivyo ndivyo anavyoendelea kiroho .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.