Kipi Bora? "Ubaya ulipwe na Ubaya" au "Ubaya ulipwe na wema"

Kipi Bora? "Ubaya ulipwe na Ubaya" au "Ubaya ulipwe na wema"

Kwa mfano monks,monk anaungama kosa.
Anaulizwa"Unalitambua kwamba ni kosa?"
Anasema,ndiyo.
Anaulizwa,"Unaahidi kwamba hutalirudia tena?"
Anasema, ndiyo.
Basi,anaambiwa,katika dini yetu mtu akitambua kosa na akiahidi kutolirudia,hivyo ndivyo anavyoendelea kiroho .
 
Back
Top Bottom